Yote yanawezekana. Inakubidi uwe na busara zaidi katika kufikia solution. Si Jambo kubwa sana kivile.One month ago, nilidate na binti mmoja hivi..
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu!
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia??
.
.
.
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?
Yan mwana umeandika story yangu kabisa yan. Me ilibidi tupime kabisa tukakuta ni kweli ipo lkn stuation zake sikuelewa..Mwisho wa cku nikampa 50 kama msaada ajue atakachofanya yeye nkamwambia me cmo.
Alivofika kwao akanambia pesa haitoshi nimuongeze laki ndo nlipomwambia akome tena asinzoee. Akaanza kunitishia mara eti atanenda kunharibia kazini me nkawa cmjibu kitu mwisho akachoka akaniacha
By the way haitwi Aisha huyo? icje ikawa ndo huyo huyo tabia zake
Yeah! Inawezekana ila ni very rare kama ulivyosema.. issue ni kwamba, mimba inaanza kuonyesha dalili after 2 weeks mtu anaanza kuhisi kichefuchefu na kutapika.
Kwanini asiseme muda wote huo mpaka mwezi mzima umefika? Ina maana alikuwa hajijui muda wote.
Nina uhakika kwa kiasi kikubwa sio yangu, by any means atakuwa ame cheat!
Bora useme wewe jamaa kapigwa mimba haiwezi kutungwa kipindi cha mp jamaa kapigwaHiyo mimba sio ya kwako haiwezekani baada ya mp eti ovulation ikatokea, kilichopo hapo ni kwamba alichepuka kwenye siku zake za hatari
Hana mimba.Halafu ananishauri uwezekano wa kutoa. I told her, siwezi kushiriki kwenye dhambi kama hiyo, even though mimba sio ya kwangu.
Umeuziwa mbuzi kwenye gunia. It's impossible. Ila sio mbaya ukamsaidia kumlelea mwanaume mwenzio....One month ago, nilidate na binti mmoja hivi..
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu!
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia??
.
.
.
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?
Umeconclude haraka bwn. Hata hujauliza mwanamke huyo ana mzunguko wa siku ngapi na anatoka damu ya hedhi kwa siku ngapi umeshaconclude! Hata hivyo, kwa vyovyote km wamesex siku iliyofuata tu baada ya menstrual hawezi kushika mimba. Yai linakuwa halijaiva kuweza kutunga mimba.Kaka huo mzigo ni wako coz mbegu huwa znakaa kwa mwanamke cku tatu had tano baada ya hapo ndio znakufa xaxa baada ya period msichana hukaa cku tatu had tano ndio anaanza tarehe za mimba yaan siku yake ya 10 had 11 sasa huon kama mimba inàwezekana
Kaka huo mzigo ni wako coz mbegu huwa znakaa kwa mwanamke cku tatu had tano baada ya hapo ndio znakufa xaxa baada ya period msichana hukaa cku tatu had tano ndio anaanza tarehe za mimba yaan siku yake ya 10 had 11 sasa huon kama mimba inàwezekana
Hana mimba.
Unatakiwa tu kutoa hela ya kutolea mimba.
Nunua UPT ,buku tu pharmacy.
Mwite aje, mwambie akojoe hata kwenye kizibo cha maji, chana upt ingiza mkono.
Majibu yatakuwa Negative.
Sio yako 100%. Hata umwagie pipa zima LA sperm.One month ago, nilidate na binti mmoja hivi..
When we met, alikuwa ndio kamaliza menstrual period yake.. yaani tuseme kamaliza jana halafu leo ndio kachezea mshedede. Na wakati namaliza show, kilitoka kibaki cha damu iliyoganda kuonyesha kuwa ni kweli menstrual ilikuwa imeisha.
Even before sijaomba game, alinambia nivute subira mpaka atakapomaliza period yake.
Leo baada ya mwezi mmoja, anakuja kunambia ana mimba yangu!
How can it be possible??
Kwamba kapata mimba baada ya menstrual? Kwamba siku zake za hatari zilikuwa karibu? Kwamba one month amekaa na mimba bila ya kunambia??
.
.
.
Na maswali mengine mengi.
Nikimuuliza kama alitoka na mtu before, anakataa!
Hivi huyu mwanamke yupo sawa kweli? Atamueleza mwanaume gani hilo suala akamuelewa?
Duh ungekuwa dume wewe,ungepiga p*mbu watu sana haahahaMbona fresh tu...hiyo mimba ni yake,sio yako
Kweny kutoa tena? Hyo dhambi wachana nayoHalafu ananishauri uwezekano wa kutoa. I told her, siwezi kushiriki kwenye dhambi kama hiyo, even though mimba sio ya kwangu.
Lakini jamani makabila mengine bure kabisa
Kwa mimi ukinisingizia mimba nakubali na mtoto nachukuwa wewe sasa unabakia na labda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazidi kuamini sijakosea kuamini nnachoamini,,wewe ni smart up stairMbona fresh tu...hiyo mimba ni yake,sio yako