KasiLuka
Member
- Nov 23, 2019
- 46
- 183
*kwa yeyote asiyewajua watanzania halisi,huyu ni moja kati ya hao *asanteJifanye uko 'siriaz' sana kuhusu kufanya DNA mwambie baada ya mwaka mpya, tar 4 mnaenda kufanya vipimo, na kwamba umeshajipanga kwa gharama.. tena siku hiyo mfano tar4 ikifika mwambie ajiandae mwende, njiani uwe unamtishia tishia.. "kama unajua sio yangu nambie sasahivi, tukipima nikajua sio ama zangu ama zako"