Habari ndugu zangu mimi Nina channel ya YouTube lakini ninahitaji masaada mnielekeze au mnifundishe jinsi channel yangu kuwa online. Natanguliza shukurani
Imberuzi Investment inawatangazia wakazi wa Dar es salaam na watanzania wote kutoa mafunzo ya kutengeneza mashine inayotumia mafuta ya taa kutotolesha vifaranga vya kuku.
Ndugu zangu naomba msaada kwa ambae anaujuzi huo anisaidie njia nyepesi ya kutengeneza mashine ya kutotolesha mayai ya kuku inayo tumia mafuta ya taa au vifaa vinavyo tumika kutengeneza mashine hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.