Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

(All african customs are good..oppose).



Swali ndo ilo mie na PCB yang ayo mamb ya history sielewi mwenye kunisaidia plz
 
Mnapokuwa mnanua Bange / Bangi muwe Kwanza mnauliza ni za nchi gani na kama zimekomaa au bado ili mnapokuja humu ' Jamvini ' msiwe tayari mmeshawehuka Kiakili na kupelekea kuwa wa hovyo hovyo.
Mkuu mbona swal lake linaeleweka ndg hiyo bange vip feutures of Tanzania as presidencial system hapa anatakiwa aangalia Tabia zinazodhihilisha kuw Tanzania ni nchi inayoongozwa na Raisi sio nchi ya Kifalme monarch country hoja zake ni kama hizi

Presence of parliamentary system
Presence of NEC
Presence of Multiple gov means locol and central gov etc
 
Back
Top Bottom