Misil Nyalus
New Member
- Aug 12, 2016
- 2
- 0
Discuss the strategies that can be taken by the government of Tanzania to ensure that individual or companies in the country are not involved, whether directly or indirectly, in bribery, deception or fraud?
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Watu wa geography Uwanja wenuNot all volcanic activities are vulcanism & not all all vulcanism are volcanism. Discus their intersected landforms
NB: Unaweza nipa reference book according to your answer
Not all volcanic activities are vulcanism & not all all vulcanism are volcanism. Discus their intersected landforms
NB: Unaweza nipa reference book according to your answer
Huhitaji nguvu nhingi kujibu hili swali,
Vulcanism ni process ina include internal processes land forms& external features(volcanic features) thus volcanism can nit be vulcanism because it explains formation of vilcanic features in the earth(iut) while vulcanism involve all in and out .
There after explain with diagrams internal and external vulcanic features utakuwa umemaliza.
Asante kwa jibu lako limeniongezea kitu
Naomba reference Kama hutojali sana
Nimekuelewa madamHuhitaji nguvu nhingi kujibu hili swali,
Vulcanism ni process ina include internal processes land forms& external features(volcanic features) thus volcanism can not be vulcanism because it explains only formation of volcanic features on the earth(out) while vulcanism involve all in and out .
There after explain with diagrams internal and external vulcanic features utakuwa umemaliza.
naomba kujua ivi kwa kidato cha nne alie rudia masomo 6 anaweza pata chet nectaNyc thread,hongera sana
samahani naomba kujua iv kidato cha nne alie rudia masomo manne au sita anaweza pata cheti necta?Nyc thread,hongera sana
Necta hutoa cheti kwa kila ulivyo au utakavyo rudia mtihaninaomba kujua ivi kwa kidato cha nne alie rudia masomo 6 anaweza pata chet necta
Duh...haka kaswali ni kadiploma....Fonolojia ni sayansi. Jadili