van mab
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 103
- 61
Sihitaji kusaidia mtu.. na sina uwezo wa kusaidia zaidi ya kutoa Ajira.. na sio lazima uwe wewe au nduguyokm kweli ww unataka kusaidia watu kasaidie kwanza ndg zako huko...huu utaperi sio eti umetoa contact km kwel ww unatoa kaz mbn hujatangaza waje ofisin kwako...!waelekeze hapo ofic yako ipo wapi waje sio unatoa minamba yako ya sim ulioisajil kifake fake..
Umenena mkuu..Wengi wenu hamjamuelewa mleta mada na kumshutumu kuwa ni tapeli. Iko hivi, fikiria TBL wanamuuzia bia mwenye bar. Mwenye bar anatangaza nafasi ya waiter wa kuuza bia za TBL, Je utapelekaje maombi TBL badala ya kwa mwenye bar?
Huyu mleta mada anaonekana ni wakala wa VODA na hivyo anatafuta mfanyakazi kwa ajili ya duka lake la kutoa huduma za bidhaa za voda. So maombi hayawezi kwenda kwa HR wa Voda.
Ubàrikiwe kama ni kweli..Usichokijua ni vyema ukauliza.. nilitangaza hapa nafasi kama hii December .. Binti alipatikana yuko VODACOM desks ya mbezi kwa msuguri anapiga kazi..
Unaweza fatilia hilo..
Utata unakuja hapo alipoweka contact no. Hawa ndio matapeli wenyewe, kwenye vodacom portal yao sijaona announcement yoyote ile kuhusiana na inshu ya jamaa
Tangazo la voda mawasiliano ya tigo
mkuu nimekupm pls naomba unijibu huko plsAnahitajika mtu wa kufanya kazi VODACOM service desk (vodashop ndogo)..mombasa (Dar)
Kazi..
.Awe na uwezo wa kutafuta soko la simu na voucher za kuuza Jumla.
.line swap
.kusajili line na kazi zingine
Sifa..
.Awe msichana , umri 18 -25
.Anayeishi mombasa atapewa kipaumbele
.Ajue kutumia computer vizuri.
.Awe na uwezo wa kujieleza
Mwenye sifa tu, awasiliane na 0715407508
Kwanza yeye ni mtumiaji wa mtandao pendwa. Watu kama hawa ni panya kwenye kampuni yoyote ile.