Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

Kwanini wanaume wengi hufeli swali hili wakitongoza?

thread, ni nzuri;
hapo majibu yanaweza yakawa hivi.
1.nang'ang'ana namba alinipa mwenyewe.
2.nimepewa na rafiki zake
3.mimi ndiye wakala niliyemsajilia nalazimisha hivyo
4.mm nilishawahi kuwa classmate wake few years ago.
1 ......
 
Ah mimi ndio maana huwa napenda kuwaibukia na kuwaomba wenyewe. Na bahati nzuri sujawahi kunyimwa namba na siku nikinyimwa nitaacha kabisa kuomba namba
Tupo pamoja mkuu, me napenda mtu anione na ajue nafananaje, yaani mimi sipendi kupewa namba na mwingine bora kwenda kuomba mwenyewe
 
Mbona simple..
Kuna manzi nilmchek akaniuliza nikamtajia jina lolote lililokuja kichwan mwang eg.lenard zen akasema hamfahamu nkasema huwez mjuaa..niko nae saiz
 
Ntamjibu niliipata kwenye app letter ile uliyoleta pale kwetu wakati unakuja kuomba kazi,..hapo atajifkiria mwenyewe alishawah peleka au kutuma appl letter sehm zip, ntanzia hapo kwanza!
 
Hahaha jamaa kanitumia msg kama hilivyo hahahahaha.

Swisssme
 
mbona jibu rahisi sana unamwambia unakumbuka ziku ile ulinunua vocha ulipoitupa mm niliilokota nikaiinzi mtandao ukanipa namba 5 za mwisho zako ww ulieitumia hio vocha nikazicopy pembeni baadae nikawapigia 100 nikawaeleza nimenunua vocha naambiwa imetumika wao watanipa namba 5 za mwanzo mm nitazicopy na hizo alafu baadae nikaziunga ndo nikakutafuta
 
mbona jibu rahisi sana unamwambia unakumbuka ziku ile ulinunua vocha ulipoitupa mm niliilokota nikaiinzi mtandao ukanipa namba 5 za mwisho zako ww ulieitumia hio vocha nikazicopy pembeni baadae nikawapigia 100 nikawaeleza nimenunua vocha naambiwa imetumika wao watanipa namba 5 za mwanzo mm nitazicopy na hizo alafu baadae nikaziunga ndo nikakutafuta
Ww kiboko yaoo[emoji2] [emoji2]
 
mbona jibu rahisi sana unamwambia unakumbuka ziku ile ulinunua vocha ulipoitupa mm niliilokota nikaiinzi mtandao ukanipa namba 5 za mwisho zako ww ulieitumia hio vocha nikazicopy pembeni baadae nikawapigia 100 nikawaeleza nimenunua vocha naambiwa imetumika wao watanipa namba 5 za mwanzo mm nitazicopy na hizo alafu baadae nikaziunga ndo nikakutafuta
hapa ni siku nikimkuta miss chaga Miss Natafuta wamenunua vocha nimalize mchezo

Ww kiboko yaoo[emoji2] [emoji2]
 
Nifah, miss chagga, Victoire na Mademu wengine humu JF mpo? Ngoja nami nianze sasa hivi kutunga meseji za aina hiyo kisha nizitume kwa baadhi ya Mabinti ili niende sawa na hili baridi zuri la Kimahaba la leo jijini Dar. Asante mno mkuu kwa kunipa au kutupa Wanaume " maujanja " haya.
oho apa dar awaulizi namba umetoa wap km umeingia na kiki ya mfanyabiashara bali utachunwa tuuu
 
Ningekuwa mimi ningejibu hivi.

1. Kwanza, nimekusoma kama mtu ambaye anakubalika kwenye jamii, kama nilivyo mimi. Unajiheshimu kwa mavazi na kauli. U mcheshi na mkarimu kwa wote. Nimechukua muda kukuchunguza, sijakurupuka "from nowhere". Mimi si wale wanaojitosa kichwa-kichwa bila kwanza kumchunguza na kumfahamu kidogo mtu ninayetaka kujenga urafiki naye.

2. Pili, mti wenye matunda ndio upigwao mawe. Wewe ni mzabibu, tena mzabibu wenye zile zabibu zenye harufu na matunda yaliyo bora zaidi. Kwa nini nisivutiwe nawe mpaka nikaitafuta namba yako?

3. Kuna rafikiyo ambaye ni msiri wangu ndiye aliyenipa namba yako kwa masharti kwamba nisilitaje jina lake kwako iwapo ungeniuliza. Kwa kuwa nimekula kiapo, siwezi kumsaliti.

Tuendelee na mahusiano yetu. Kwangu sioni kikwazo, lakini iwapo hujaridhia, Binti Mwema, nieleza, nitaacha kukufuata.

Asante.

Wako Mtiifu.

--------------------

Hivi ndivyo ningemjibu hilo swali.

Sijui wengine wangemjibu kwa namna gani.


Kwa kweli mie ningekwambia delete namba fasta sababu namba 1 na 2 are definitely lies.
 
thread, ni nzuri;
hapo majibu yanaweza yakawa hivi.
1.nang'ang'ana namba alinipa mwenyewe.
2.nimepewa na rafiki zake
3.mimi ndiye wakala niliyemsajilia nalazimisha hivyo
4.mm nilishawahi kuwa classmate wake few years ago.
Inamba yako uganinha loshiko logatandatu. Webaga nkoyi? Nagayega noyi aho waninha...

Wanaume kusema kweli tuna kazi ngumu!
 
Hivi watu bado mnatumia style ya kuzunguka.mbuyu kuomba namba from third party????
Hiyo style haina tofauti na kutongoza kwa barua. Mfuate.live live wengi huwa hawana confo akitokewa mubashara mubashara. Na.anakuona we.kidume.kweli
 
Back
Top Bottom