Kuna haja gani kumtukana? Kwani kutoa ushauri bila kutusi au kibehi huwezi? Kwani kakuomba usome uzi wake? Punguza ujuaji. Mtu yuko katika wakati mgumu na ujue namna ya kubeba matatizo tunatofautiana
Tatizo tunakopesha tunachokitegemea. Mtu unajijua pesa yako ya kuunga unga halafu unamkopesha mtu kama sio kutafuta lawama ni nini? Mambo ya kukipesha pesa waachie wenye uwezo na pesa ya ziada vinginevyo utakuja hapa kulialia
Ulianza vizuri, lakini mwishoni umeonyesha uelewa wako wa mambo ni mdogo sana na hata hujui sheria iliyoanzisha JWTZ na majukumu yake. Pili nikufahamishe tu Taasisi zote zimeundwa kisheria na majukumu yake, shida ni siasa kuingilia hizo Taasisi, hata hao JWTZ unawaona waadilifu kwakuwa kazi zao...
Humu ndani watu waliimba nyimbo za kumsifu na kumpongeza Mpina alipokuwa akiikosoa Serikali na akaitwa mzalendo wa kweli, Leo hii kaenda ACT hao hao waliomsifu sasa ndio wanaomtukana. Nchii imejaa unafiki kwa vyama vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.