Taja hata nyimbo 2 alizofanya peke yake. Msanii anaetegemea kuimba na wenzake ndio afanye vizuri ujue kipaji chake ni cha kawaida sana so sioni hiyo heshima unayotaka apewe
Kuna haja gani kumtukana? Kwani kutoa ushauri bila kutusi au kibehi huwezi? Kwani kakuomba usome uzi wake? Punguza ujuaji. Mtu yuko katika wakati mgumu na ujue namna ya kubeba matatizo tunatofautiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.