Recent content by kaa chini

  1. kaa chini

    Producer maarufu nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni.

    Punguza uongo na ikiwa huwajui hao watu kaa kimya kuficha aibu inayokuandama
  2. kaa chini

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Kuna haja gani kumtukana? Kwani kutoa ushauri bila kutusi au kibehi huwezi? Kwani kakuomba usome uzi wake? Punguza ujuaji. Mtu yuko katika wakati mgumu na ujue namna ya kubeba matatizo tunatofautiana
  3. kaa chini

    Kutoka kimapenzi na ndugu

    Shule zifunguliwe tu kwakweli
  4. kaa chini

    Sehemu ya kuupload cheti cha kuzaliwa kwenye uhakiki wa cheti haionekani

    Weka namba ya cheti cha zamani, hatua za mbele itakutaka kuapload cheti cha zamani ila ukicompres kiwe na mb chache
  5. kaa chini

    Wafanyakazi wa serikali changamoto

    Tatizo tunakopesha tunachokitegemea. Mtu unajijua pesa yako ya kuunga unga halafu unamkopesha mtu kama sio kutafuta lawama ni nini? Mambo ya kukipesha pesa waachie wenye uwezo na pesa ya ziada vinginevyo utakuja hapa kulialia
  6. kaa chini

    Bastola ya dogo janja anamiliki kihalali??Tuanzie hapa kama sio nani mmiliki?

    Kwa Arusha ukiishi kijingajinga wanakutoboa macho na bisi bisi. Alichofanya Dogo Janja ni sahihi kabisa
  7. kaa chini

    Katika hali hii ungekuwa wewe ungefanyaje

    Ingekuwa mimi hapo mngeshaimba parapanda Italia parapandaaaa!!! Parapanda italia parapanda!!!!
  8. kaa chini

    Majukumu ya TAKUKURU yahamihishiwe Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)

    Ulianza vizuri, lakini mwishoni umeonyesha uelewa wako wa mambo ni mdogo sana na hata hujui sheria iliyoanzisha JWTZ na majukumu yake. Pili nikufahamishe tu Taasisi zote zimeundwa kisheria na majukumu yake, shida ni siasa kuingilia hizo Taasisi, hata hao JWTZ unawaona waadilifu kwakuwa kazi zao...
  9. kaa chini

    Kama wewe ni mfanyabiashara hii mikoa bila ndumba hutoboi

    Kafanyeje biashara kariakoo ndio utajua Dar kuna ndumba au hakuna ndumba
  10. kaa chini

    GE2025 Wanaompinga Mpina wanataka Rais abaki madarakani

    Humu ndani watu waliimba nyimbo za kumsifu na kumpongeza Mpina alipokuwa akiikosoa Serikali na akaitwa mzalendo wa kweli, Leo hii kaenda ACT hao hao waliomsifu sasa ndio wanaomtukana. Nchii imejaa unafiki kwa vyama vyote
Back
Top Bottom