Recent content by kaa chini

  1. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Vitu vingine ni vya kujiepusha navyo tu, hivi kweli umkwide police akiwa kwenye sare za kazi utegemee kusalimika?
  2. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Swali unalouliza ndilo jibu lenyewe
  3. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Pole kwa kufikiria kununua kiwanja chenye mgogoro
  4. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Cocastic sitakata tamaa nawe kwangu ww ni 100%

    Mwanaume unamtongoza mwanaume mwenzako na huhisi kinyaa? Ushoga hautaisha duniani
  5. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Simbachawene ameamua kuidai Tanganyika na kutaka uwajibikaji ndani ya CCM

    Hivi unaamini kuna mtanzania mwenye uwezo wa kuandika hayo?
  6. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Kwa usalama wa ndoa yako, kodi ikiisha hama hiyo nyumba nenda mitaa mingine kabisa
  7. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Nchimbi hatakiwi kabisa CCM. Shibuda katumwa amwambie Nchimbi ajiuzulu

    Kazi kweli kweli
  8. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Chadema hawana uwezo wa kumwandikia barua Mbowe kufika Kamati ya Maadili?

    Nilivyosoma tu neno "hasiitwe" nikajua ni uzi wa kijuha
  9. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Hii ni hujuma? Siku moja baada ya bwawa la JNHHP kuzinduliwa umeme unakatika

    Umeanza lini utani, Nchi nzima ipi?
  10. kaa chini

    JamiiForums Tanzania Gen Z watangaza maandamano makubwa 29/10/2026

    Hili jibu lako ndio limeharibu uzi wako mwenyewe, kwamba uko USA halafu unahamasisha vijana walioko Bongo watoke?
Back
Top Bottom