Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,947
Reaction score
9,460
Mimi bila kupepesa macho nipo upande wa IRAN,Japo watu wamegawanyika katika munktadha wa kidini wakirsto wanapendelea ISRAEL Wakidhani ni Nchi Takatifu lakini ni Shetani na hatambui wa Roma!

Pia Mimi sipendi watu wanaoonewa bila sababu mfano Vita ya Urusi ns Ukraine mimi nipo URUSI,kwanini kwakuwa mmarekani amekuwa akitumia nchi nyingine kuaribu ustaarabu wa mahali husika ila nasema ipo siku atachokoza mahali ICBM Zitatumwa kwake moja kwamojakwa moja! Hivyo Iran,Urusi,Palestine nipo nyuma yao!
 
Mimi bila kupepesa macho nipo upande wa IRAN,Japo watu wamegawanyika katika munktadha wa kidini wakirsto wanapendelea ISRAEL Wakidhani ni Nchi Takatifu lakini ni Shetani na hatambui wa Roma! Pia Mimi sipendi watu wanaoonewa bila sababu mfano Vita ya Urusi ns Ukraine mimi nipo URUSI,kwanini kwakuwa mmarekani amekuwa akitumia nchi nyingine kuaribu ustaarabu wa mahali husika ila nasema ipo siku atachokoza mahali ICBM Zitatumwa kwake moja kwamojakwa moja! Hivyo Iran,Urusi,Palestine nipo nyuma yao!
Inakusaidia nini? Kwanini huongelei vita ya Kongo au Msumbiji nyuumbu we?
 
Kwa nini uko upande wa Iran?
Swali zuri sana! Iran alikuwa kibaraka wa US lakini alipogeuka na kusoma mchezo akaanza kuwekewa zengwe na mabwanyenye wakisema hatakiwi kumiliki Nyuke,kwani nani anatakiwa kumiliki nyuke?? kama nchi zinajiita wenye ustaarabu waliwahi kuchoma nchi na atomic bomb na leo wapo na nyuke aliwekewa vikwazo akapambana na magaidi wakutengenezwa ila leo ametengeneza nchi yake japo sasa hivi wameiharibu! Hivyo kwa misimamo yake tu napenda kuwa upande wake. Ni hilo tu.
 
Kwa nini uko upande wa Iran?
Swali zuri sana!

Mimi hata jogoo wakiwa wanapigana lazima nichukue upande.

Siku Moja nilichelewa kwenda kazini baada ya kukuta vinyonga wanapigana. Napo nilichukua upande pia.

Japo hukuniuliza Mimi, lakini nimekujibu kutokana na kiherehere changu.
 
Mimi naona wote wanazingua tu alafu wanamsingizia M/Mungu
 
Ni kwamba mnafurahia watu kufa (wakiwemo wale watoto 120+ wa shule wasio na hatia yoyote ile kule Iran), ni kwamba mnafurahia kupaa kwa bei ya mafuta na gesi nchini! Ni kwamba mnafurahia kupaa kwa bei ya cement nchini! Ni kwamba mnafurahia huu mfumuko wa bei ya vyakula na bidhaa mbalimbali nchini uliosababishwa na hivyo vita vilivyokosa sababu za msingi za kutokea kwake!

Okay....
 
Niko na Iran.
Nakuona
1784917793096.jpeg
 
Mimi bila kupepesa macho nipo upande wa IRAN,Japo watu wamegawanyika katika munktadha wa kidini wakirsto wanapendelea ISRAEL Wakidhani ni Nchi Takatifu lakini ni Shetani na hatambui wa Roma!

Pia Mimi sipendi watu wanaoonewa bila sababu mfano Vita ya Urusi ns Ukraine mimi nipo URUSI,kwanini kwakuwa mmarekani amekuwa akitumia nchi nyingine kuaribu ustaarabu wa mahali husika ila nasema ipo siku atachokoza mahali ICBM Zitatumwa kwake moja kwamojakwa moja! Hivyo Iran,Urusi,Palestine nipo nyuma yao!
Salaam alykum sheikh ubwabwa?
 
Swali zuri sana! Iran alikuwa kibaraka wa US lakini alipogeuka na kusoma mchezo akaanza kuwekewa zengwe na mabwanyenye wakisema hatakiwi kumiliki Nyuke,kwani nani anatakiwa kumiliki nyuke?? kama nchi zinajiita wenye ustaarabu waliwahi kuchoma nchi na atomic bomb na leo wapo na nyuke aliwekewa vikwazo akapambana na magaidi wakutengenezwa ila leo ametengeneza nchi yake japo sasa hivi wameiharibu! Hivyo kwa misimamo yake tu napenda kuwa upande wake. Ni hilo tu.
Acha kuwa muongo muongo. Imani Yako ndio imefanya uione Israel ni mashetani.

Bila kuongopa huwa mambo hayaendi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom