Recent content by JF Tanga one

  1. J

    Ndani ya Chumba cha mtihani

    Ha ha haaaa, mumstiri mwenzenu jamani!
  2. J

    Sijui kama siku hizi zipo hizi

    Kufua nguo kwa kutumia majani ya mpapai.
  3. J

    Shirika la nyumba, apartment milioni mia ni bei rahisi!!!!

    We nawe huoni, vaa miwani. Milion moja kasema nani? c kila mtu angenunua, na kusingekuwa na Tangazo yaani ungeshtukia zimeisha tu. Soma vizuri ni MILLIONI MIA ndo kuanzia hapo. Tutakaa uswazi hadi tufe aisee!
  4. J

    hii kitu hakunaga mahali popote duniani,ni tanzania pekee

    Kwa kwa kwaaaa, mama mbavu zangu! Na hii ni nchi gani tena wanaipiga taff Tanzania.
  5. J

    kila kilichonamwanzo hakikosi mwisho!

    R.I.P bro! Wote njia yetu ni hiyo, kibaya umetangulia wakati still we need u! So sad aisee! Mungu yu mwema.
  6. J

    TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

    R.I.P Hussein (Sharo Milionare) Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe, Amin!
  7. J

    Kashfa ya ngono UDOM - Dodoma

    Mnataka mpigwe picha ama! wewe kama hufanyi kaa kimya, wenzako wale kule wanafanya ufuska hatari. Unatetea chuo maovu, Elimu yako haijakusaidia hata kidogo ila ukweli unaujua. Tena wakati wa bunge ndo HATARI HATARI ptuuuuuuh!
  8. J

    Bongo movie wapatwa na pigo jingine

    Asa Madoctor nao sometimes bwana wanaboa niaje! Walimpasulia nini wakati hakuwa na tatizo au machine zao za kupimia ni mbovu? Kutoboana toboana tu co issue, wamemkimbiza tu mwenzao huko. Wamenikeraje ingawa cmjui! R.I.P Bro.
  9. J

    Mnakwenda wapi?

    Ha ha haaaa, nimekumbuka mbali sana aisee, cc tulikuwa tunafata nyanya za kachumbari siku za wali! Ukamatwe sasa, utajuuuta kuzaliwa.
  10. J

    Huyu mwanaume ni balaa......

    Naona umepanick au limekugusa, ila jamba tu kwa afya usiogope maneno ya watu.
  11. J

    Natafuta Boyfriend.

    Wewe mtu mzima jiongeze sio kila kitu hadi uelezewe, kwa kuona na kusoma tu unaelewa. Jitose kama unavigezo, mengine muachie Mungu bwana weeh, utajua mbele kwa mbele huko.
  12. J

    Kesi ya Uamsho: Sheikh Farid na wenzake wadai kuteswa mahabusu

    Na ukiangalia wanaoanzisha fujo za Kiislam wengi wao ni Waarab! Wangekuwa Kenya wangeshafukuzwa, wanatunyima raha na nchi yetu tu kama yao.
  13. J

    Ni kweli kuna umri ukifika wadada wanakua na inside pressure ya kutaka kuolewa

    Kama kuna kadi ya mwaliko ntaenda, mimi tena! Cpo Tanga wangu!
  14. J

    Huyu Baba Mkwe atanivunjia Ndoa

    Hata kama jamani, ndo nakuweka tumbo wazi sakafuni na miguu sofani! yaani kama namuona huo mkao! Dunia haiaminiki ya sasa, chunga zigo lako kaka!
Back
Top Bottom