Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #21
nachukua nafasi hii kukupongeza sana dr shein
fungiliam mbali hao wachochezii
chukua fursa hiyo pia kumlaani Aman Karume
nachukua nafasi hii kukupongeza sana dr shein
fungiliam mbali hao wachochezii
Uyo farid ni raia wa oman..anataka kuiuza zenj kwa waharabu wenzie..ndio maana uhamsho wote ni waharabu
chukua fursa hiyo pia kumlaani aman karume
Uyo farid ni raia wa oman..anataka kuiuza zenj kwa waharabu wenzie..ndio maana uhamsho wote ni waharabu
Naona ndevu zimeanza kuota, wawanyoe tena
Uyo farid ni raia wa oman..anataka kuiuza zenj kwa waharabu wenzie..ndio maana uhamsho wote ni waharabu
Kesi inayowakabili viongozi wa Uamsho imeendelea leo katika mahakama ya Vuga huku Zanzibar ambapo imeelezwa mahakamani hapo kuwa upelelezi bado unaendelea. Kesi imeahirishwa hadi Rat 29 mwezi huu,
Mahakamani hapo Shelkh Farid amepata wasaa mfupi wa kutoa neno kwa watu na kuwahoji kama wanautaka muungano au lah ambapo watu walijibu kwa nguvu kuwa hawautaki. Pia akawataka waandishi wa habari wafike kwenye vyuo vya mafunzo (jela) wakajionee namna wafungwa wanafoteseka wakiwao wao.
Wamedai kuwa uongozi wa jela unawanyima ndugu zao haki ya kuwapelekea huduma kama maji ya kunywa na vyakula ambavyo huwa inaruhusiwa, lakini kwao wamepigwa marufuku kupelekewa huduma hizo.
Kesi itarejewa tena mahakamani tar 29 mwezi huu.
Hii picha ya leo hii
Mwenyezi Mungu awajalie ziote mapema ili wazidiNaona kama zimeanza kuota...si walitakiwa wanyolewe.....
Kesi inayowakabili viongozi wa Uamsho imeendelea leo katika mahakama ya Vuga huku Zanzibar ambapo imeelezwa mahakamani hapo kuwa upelelezi bado unaendelea. Kesi imeahirishwa hadi Rat 29 mwezi huu,
Mahakamani hapo Shelkh Farid amepata wasaa mfupi wa kutoa neno kwa watu na kuwahoji kama wanautaka muungano au lah ambapo watu walijibu kwa nguvu kuwa hawautaki. Pia akawataka waandishi wa habari wafike kwenye vyuo vya mafunzo (jela) wakajionee namna wafungwa wanafoteseka wakiwao wao.
Wamedai kuwa uongozi wa jela unawanyima ndugu zao haki ya kuwapelekea huduma kama maji ya kunywa na vyakula ambavyo huwa inaruhusiwa, lakini kwao wamepigwa marufuku kupelekewa huduma hizo.
Kesi itarejewa tena mahakamani tar 29 mwezi huu.
Hii picha ya leo hii
Mwenyezi Mungu awajalie ziote mapema ili wazidi
kufanana na Ndugu yetu Yesu, Ibrahim na wengineo
Kwani ni Mungu ndiye aliyetaka waja wake wema
wanaofuata dini yake iwe ni Sunna kwao kufuga ndevu.
Wafungiwe cell hawa
na ufunguo utupwe mbali huku Bara. Wana laana ya kula
nyama ya binadamu hawa - na hiyo laana watakuwa nayo
maisha yao yote.
Wasiachiwe hawa, wamechoma makanisa yameisha, sasa wataanza kunya kwenye vyanzo vya maji. Hawa ni watu hatari sana
Mahabusu sio Serena hotel. Walitakaje? waletewe mademu?
Naona kama zimeanza kuota...si walitakiwa wanyolewe.....
JF ni jukwaa pana sana. Unaweza kujiunga na upande wa vichekesho kunakufaa zaid kuliko hapa. What a non sense!