Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,807
Huu si msaada ni kisasi.Hakijamba nawe msubili hakiwa yupo sawa nawe mjambie uone hatakwambiaje?
Huu si msaada ni kisasi.Hakijamba nawe msubili hakiwa yupo sawa nawe mjambie uone hatakwambiaje?
Juzi uliomba msaada kuwa una jini mahaba, leo umepata kitu kipya,mpo zanziba,anajamba bila kujali marafiki zako,
Sasa naomba nikwambie kuwa wewe unatuchezea akili zetu!
Kitu kipya na marafiki zako wapinawapi?
wewe utakuwa muuaji, kaaa! Kwa nn amfanyie hivyo mwenzake?acha roho za wanyama bana.baada ya kupata kitu tamu
mwingize tambala anapojambia na tambala lingine anapo kolomea.
Kwani akijamba halufu ina kua kali eeeeeee? Pulizia pafyumu si ana hela bana
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
acheni utoto nyie binadamu.....................
haya mambo ya kujadili issue za ujambaji yanatokea wapi tena....
WAKATI MWINGINE UMRI NAO UTUSUTE KIDOGO KUJADILI MAMBO YASO NA TIJA...........................