kila kilichonamwanzo hakikosi mwisho!

kila kilichonamwanzo hakikosi mwisho!

inatia huruma na huzuni sana ila ndio safari yetu sote.siwakati wa kumlilia yeye kwani ameshamaliza muda wakehapa dunia.nakapeleka hesabu yake kwamola.tuzililie nafsi 9etu kwakua bado tupo na hatujui siku wala saa pia hatujui au hatuna hesabu ya kwendanayo tuzisafishe nafs
 
image002.png
Sijui Kwa Nini Hakutuma kwa Air Tell Money
 
mwenyenzi mungu ambariki huyu mtumishi waske aliyemwita kwake toka dunia hii.apende kuipokea roho yakle na za wale wote waliokufa wakimtumainia mungu
 
R.I.P bro!

Wote njia yetu ni hiyo, kibaya umetangulia wakati still we need u!
So sad aisee!
Mungu yu mwema.
 
ni jana usiku tu nilikuwa najiuliza, huyu dogo kwa jinsi anavyokunja midomo, je akifikisha miaka thelathini sura yake itakuwaje??
Mara nkasikia breaking news: KATUTOKA
 
Rest in Peace Sharo Baro Billionaire. So sad, gone too soon.
 
dunian 2napita though ha2jui tym bt this style ya kifo z too sad
 
R.I.P sharo, tulikupenda ila MUNGU kakupenda zaidi, BWANA ametoa BWANA ametwaa jina lake lihimidiwe Amina.
 
ni jana usiku tu nilikuwa najiuliza, huyu dogo kwa jinsi anavyokunja midomo, je akifikisha miaka thelathini sura yake itakuwaje??
Mara nkasikia breaking news: KATUTOKA
Hii Kali Usije Ukaniwaza na Mie siku nyingine
 
Back
Top Bottom