Bongo movie wapatwa na pigo jingine

Dah! Jamaa kawahi kufa sana, bado ni kijana mno na hajaanza kufaidi matunda ya kazi zake! Anyway kazi ya Mungu haina makosa.

RIP, we are all heading there.
 
Alikua anaumwa na tumbo kisha akamuomba Shija amsindikize hospitali,
wakaongozana moja kwa moja mpaka hospitali ya Mwananyamala na
hatimae kutoa maelezo na baada ya muda madaktari wakahisi atakua na
tatizo ktka utumbo ambapo mmoja wao alisema itakua ni utumbo umekatika au
jeraha.

Hivyo wakabidi wamfanyie upasuaji lakini baada ya upasuaji walibaini hakuwa na
tatizo katika utumbo, wakafanya wanachojua na mwishowe wakamshona sehemu
waliyoifanyia upasuaji.

Hali hiyo ilimfanya john aendelee kuzidiwa nakumbidi apelekwe Muhimbili,
na huko ndiko walikobaini kuwa tatizo ni KONGOSHO.

Asa Madoctor nao sometimes bwana wanaboa niaje! Walimpasulia nini wakati hakuwa na tatizo au machine zao za kupimia ni mbovu?
Kutoboana toboana tu co issue, wamemkimbiza tu mwenzao huko. Wamenikeraje ingawa cmjui!
R.I.P Bro.
 
attachment.php

Ni mtanzania huyu?
Kacheza picha gani?

Tena ni msukuma asili na ndugu zake wote asili. Hizo nywele kaweka wave!! Si unajua tena wasanii wetu? Kama vile Platnumz anavyojipaka poda!! Ha ha!! Rest in peace!
 
Alikua anaumwa na tumbo kisha akamuomba Shija amsindikize hospitali,
wakaongozana moja kwa moja mpaka hospitali ya Mwananyamala na
hatimae kutoa maelezo na baada ya muda madaktari wakahisi atakua na
tatizo ktka utumbo ambapo mmoja wao alisema itakua ni utumbo umekatika au
jeraha.

Hivyo wakabidi wamfanyie upasuaji lakini baada ya upasuaji walibaini hakuwa na
tatizo katika utumbo, wakafanya wanachojua na mwishowe wakamshona sehemu
waliyoifanyia upasuaji.

Hali hiyo ilimfanya john aendelee kuzidiwa nakumbidi apelekwe Muhimbili,
na huko ndiko walikobaini kuwa tatizo ni KONGOSHO.

Aise ilinitokea mimi miaka hiyo niliumwa tumbo la kutisha ambalo nilitapika sana bila hata kuharisha. Ni nyongo mfululizo na tumbo kuchoma kabisa na mwili wote ulivimba. Nikapelekwa hospital moja ya serikali maarufu na wakapima mara bandama ina infection, mara una mawe kwenye nini mara labda ni appendix!!! Mwishowe kila specialist (the so called) ansema lake. Nikawekewa maji chupa kadhaa na wakaamua sasa waniandae kwa operation. Usiku ule walinifanyia enema kusafisha tumbo kwa ajili ya operation na ndipo ilikuwa pona yangu!!! It was food poison from samaki na imagine niliwaeleza!!! Nilipoenda kwa mtaalam, baadaye kucheck body toxic alishangaa ni kwa nini madaktari walishindwa kujua ni food poison/or poison yenywe tu!!! Dah!! Vifo vingi vinatokana na uzembe au kutoelewa kazi kwa hawa wanaojiita maspecialist!!!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Dah! Jamaa kawahi kufa sana, bado ni kijana mno na hajaanza kufaidi matunda ya kazi zake! Anyway kazi ya Mungu haina makosa.

RIP, we are all heading there.

Tena ukizingatia anaumri wa miaka 22 tu.
 
Aise ilinitokea mimi miaka hiyo niliumwa tumbo la kutisha ambalo nilitapika sana bila hata kuharisha. Ni nyongo mfululizo na tumbo kuchoma kabisa na mwili wote ulivimba. Nikapelekwa hospital moja ya serikali maarufu na wakapima mara bandama ina infection, mara una mawe kwenye nini mara labda ni appendix!!! Mwishowe kila specialist (the so called) ansema lake. Nikawekewa maji chupa kadhaa na wakaamua sasa waniandae kwa operation. Usiku ule walinifanyia enema kusafisha tumbo kwa ajili ya operation na ndipo ilikuwa pona yangu!!! It was food poison from samaki na imagine niliwaeleza!!! Nilipoenda kwa mtaalam, baadaye kucheck body toxic alishangaa ni kwa nini madaktari walishindwa kujua ni food poison/or poison yenywe tu!!! Dah!! Vifo vingi vinatokana na uzembe au kutoelewa kazi kwa hawa wanaojiita maspecialist!!!

Pole sana kwa yaliyokukuta,
hao ndo madaktari wetu bhanaaaa!!!
TUTAFANYAJE SASA?????????
 
Asa Madoctor nao sometimes bwana wanaboa niaje! Walimpasulia nini wakati hakuwa na tatizo au machine zao za kupimia ni mbovu?
Kutoboana toboana tu co issue, wamemkimbiza tu mwenzao huko. Wamenikeraje ingawa cmjui!
R.I.P Bro.

Juzi kati kun jamaa mmoja alikua anasumbuliwa na tumbo na
hatimaye madaktari wakamfanyia upasuaji wa mguu.
Hebu jaribu kifikiria it make sense 4 dat.
 
Namkumbuka sana huyu jamaa.. Mungu ailaze pema roho yake. Gone too soon.
 
ALALE PEMA PEPONI! kumbe KONGOSHO linaua ghafla hivi?ndo nimejua leo,yule mwana JF anayetuelezea magonjwa mbalimbali,kinga na tiba,nadhani anaitwa mzizimkavu,tafadhali tuelezee kuhusu huu ugonjwa,maana yawezekana wako wengi wanatembea wanaumwa kongosho,ila hatujui!
 
Alikua anaumwa na tumbo kisha akamuomba Shija amsindikize hospitali,
wakaongozana moja kwa moja mpaka hospitali ya Mwananyamala na
hatimae kutoa maelezo na baada ya muda madaktari wakahisi atakua na
tatizo ktka utumbo ambapo mmoja wao alisema itakua ni utumbo umekatika au
jeraha.

Hivyo wakabidi wamfanyie upasuaji lakini baada ya upasuaji walibaini hakuwa na
tatizo katika utumbo, wakafanya wanachojua na mwishowe wakamshona sehemu
waliyoifanyia upasuaji.

Hali hiyo ilimfanya john aendelee kuzidiwa nakumbidi apelekwe Muhimbili,
na huko ndiko walikobaini kuwa tatizo ni KONGOSHO.

Walikuwa wanabahatisha! Tanzania kuna watu wa kufanyia majaribio. Walimpasuaje bila kupima na kugundua chanzo cha tatizo. Hata mganga wa kienyeji hawezi kubahatisha kwa kiwango hiki! Kwa madaktari wa aina hiyo kama angepona ingekuwa maajabu ya dunia!
 
Alikua anaumwa na tumbo kisha akamuomba Shija amsindikize hospitali,
wakaongozana moja kwa moja mpaka hospitali ya Mwananyamala na
hatimae kutoa maelezo na baada ya muda madaktari wakahisi atakua na
tatizo ktka utumbo ambapo mmoja wao alisema itakua ni utumbo umekatika au
jeraha.

Hivyo wakabidi wamfanyie upasuaji lakini baada ya upasuaji walibaini hakuwa na
tatizo katika utumbo, wakafanya wanachojua na mwishowe wakamshona sehemu
waliyoifanyia upasuaji.

Hali hiyo ilimfanya john aendelee kuzidiwa nakumbidi apelekwe Muhimbili,
na huko ndiko walikobaini kuwa tatizo ni KONGOSHO.
Kongoaho ni nini
 
Back
Top Bottom