Thegreatcardina
JF-Expert Member
- Mar 29, 2009
- 406
- 178
moderator mbona unamashaka na jibu langu unataka unipe ban nini?:banplease:
Busara zako mod zikuongoze......:target:
moderator mbona unamashaka na jibu langu unataka unipe ban nini?:banplease:
Nimezaliwa na kukulia Tanzania sihitaji kumjua Mtanzania kuweza kumuelewa, Mtanzania wa kawaida hawezi kuuliza swali kama hilo tena kwenye internet, huyu jamaa anakebehi na wala hana hiyo shida!
mbona huko inapita ,ata kwetu zanzibar inapita asubuhiMie naishi zangu huku mugumu haya hiyo ratiba ya treni inatija kwangu?
mbona huko inapita ,ata kwetu zanzibar inapita asubuhi
we unafikiri moderator yupo kama wewe mwenye roho mbayaaaBusara zako mod zikuongoze......:target:
Basi huku kwetu haina tija sana kazini twaenda kwa miguu sie, wangewaongezea huhuko Dar ili kuwapunguzia adha ya foleni ndugu zetu walioko mji mkuu!
Acha kebehi wewe, angalia usije kukufuru na siku moja ukajutia hizo kebehi zako, huko nje uliko mambo yanaweza yakakuharibikia na ukashangaa siku moja hata hiyo dala dala ukashindwa kulipa, nakupa somo tu, tunawajua wengi waliokuwa hivyo, wakifika ulaya basi wanakebehi kila kitu chetu mpaka wanapitiliza halafu kibao kinakuja kuwageukia shauri yako!!
Yaani huyu kakurupuka na jibu lake la utumbo utumbo tu, c lazima ujibu kaa kimya kama vipi au unamjua na una ugomvi nae? Siyo humu basi msake hukooo uswazi, acha uswahili basi.
Ukimjibu utapungukiwa nini? Kila wakati mnawaza kujibu maswali visivyo. Uelewe Jibu unalotoa hapa halimsaidii yeye tu. Bali na JF wengine. Sasa unapojibu utumbo unatusaidia nini. Jamani kama mtu huna jibu ni bora kunyamaza, kwani lazima kila linaloulizwa hapa ujibu?
Acha kebehi wewe, angalia usije kukufuru na siku moja ukajutia hizo kebehi zako, huko nje uliko mambo yanaweza yakakuharibikia na ukashangaa siku moja hata hiyo dala dala ukashindwa kulipa, nakupa somo tu, tunawajua wengi waliokuwa hivyo, wakifika ulaya basi wanakebehi kila kitu chetu mpaka wanapitiliza halafu kibao kinakuja kuwageukia shauri yako!!
Yaani huyu kakurupuka na jibu lake la utumbo utumbo tu, c lazima ujibu kaa kimya kama vipi au unamjua na una ugomvi nae? Siyo humu basi msake hukooo uswazi, acha uswahili basi.
unajua unachekesha sana, mimi Mswahili na ninaandika kiswahili halafu unasema niache uswahili!!!!!!!!! na cha kushangaza zaidi unaandika eti niache uswahili kwa kiswahili sasa sijui, sasa hapo nani anaandika utumbo kati ya mimi na wewe!
Do you know him/her?
Nimezaliwa na kukulia Tanzania sihitaji kumjua Mtanzania kuweza kumuelewa, Mtanzania wa kawaida hawezi kuuliza swali kama hilo tena kwenye internet, huyu jamaa anakebehi na wala hana hiyo shida!
we unafikiri moderator yupo kama wewe mwenye roho mbayaaa
asante cardinalUelewa wako tu. Kwenu busara humaanisha roho mbaya? Pole.