Asante kwa bandiko
Hivi profesa Mazrui ana ujamaa na Ahmed Mazrui yule aliyetajwa kwenye kitabu cha Dr. Harith Gasanny cha 'Kwaheri ukoloni kwa heri uhuru'?
Mazrui wa katika kitabu hiko alikuwa akimiliki kampuni ya ujenzi ambayo John Okelo alikuwa kibarua katika kampuni hiyo.
Yani ukifuatilia uchaguzi humu Jf unaweza ukasema wapinzani wqtashinda kwa kishindo.
Miaka yote ya uchaguzi humu kunakuwa hivi hivi lakini kwenye uchaguzi wenyewe sasa.....
Kwanza wengi waliopo humu hawaendi kupiga kura
Shishimbi ameivuruga timu.
Kocha wa yanga alinishangaza alipoingiza kikosi kile kile kianze tena second half bila ya kufanya sub.
All in all Simba wapo vizuri sana na laiti washambuliaji wao wangeongeza umakini, leo Yanga angekufa si chini ya goli 6.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.