Recent content by Jecha wa Jecha

  1. J

    Zijue sababu mbalimbali za kukufanya ukose VISA ya nchi unayotaka kwenda

    Duu Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  2. J

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wewe huna unachokijua
  3. J

    Prof. Ali Mazrui mwalimu wangu wa masafa marefu

    Asante kwa bandiko Hivi profesa Mazrui ana ujamaa na Ahmed Mazrui yule aliyetajwa kwenye kitabu cha Dr. Harith Gasanny cha 'Kwaheri ukoloni kwa heri uhuru'? Mazrui wa katika kitabu hiko alikuwa akimiliki kampuni ya ujenzi ambayo John Okelo alikuwa kibarua katika kampuni hiyo.
  4. J

    Natafuta maduka ya jumla ya spray kwa Kariakoo

    Achana na Kariakaoo, nenda mtaa wa kitumbini mnazi mmoja.
  5. J

    Mwanaume ambaye hajanioa anataka nimfulie nguo

    Akikupatia na pesa pia kabla hujapokea uje uandike humu ankupa pesa kama nani?
  6. J

    Kuna mtu alishawahi kumiliki Mini Cooper?

    Aliyeelewa hii anifafanulie tafadhali
  7. J

    GE2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Yani ukifuatilia uchaguzi humu Jf unaweza ukasema wapinzani wqtashinda kwa kishindo. Miaka yote ya uchaguzi humu kunakuwa hivi hivi lakini kwenye uchaguzi wenyewe sasa..... Kwanza wengi waliopo humu hawaendi kupiga kura
  8. J

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Vizuri huwa havidumu
  9. J

    Nilileta uzi humu kuhusu mchezo wa kujihami, karate

    Wewe ni mtaalamu wa karate au kung fu? Maana hiyo ni michezo miwili tofauti. Napata mashaka kwenye maelezo yako unapomix hiyo michezo miwili
  10. J

    Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

    Shishimbi ameivuruga timu. Kocha wa yanga alinishangaza alipoingiza kikosi kile kile kianze tena second half bila ya kufanya sub. All in all Simba wapo vizuri sana na laiti washambuliaji wao wangeongeza umakini, leo Yanga angekufa si chini ya goli 6.
Back
Top Bottom