Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana. Nafsi na uhalisia vinashindanaDuuuh! Pazito sana apa...
Tukio ni lakwako ww au unamzungumzia mwingineNina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Hawa viumbe aisee..Daaa nlieahi kuwa na dem mke wamtu alikuwa akiingia kuoga bafuni ananipigia vireocall anaweka dirishani anaoga nikiwa nmwona hadi anamaliza. Akirudi ananipigia video call mmewake akiwa uchi wa mnyama namwona pia
Unachotafta utakipata, usianze kulalamikia maisha unayoyataftaNina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Nafanyaje Sasa? Nikatae matakwa ya dhamira?Una tatizo kubwa sana dada. Ni tatizo la kiroho, unahitaji neema ya Mungu lasivyo utaangamia.
Nakushauri tafuta huduma ya maombi/ dua.
Pili kata mawasiliano na wa zamani. Utaharibu sana. Utaharibu kabisa.
Umefanya kosa maana umefunga ndoa na pesa sio ndoa na mtu na dhamira yako itakuadhibu sasa usifanye makosa zaidi utaharibu zaidi.
Asante mkuuMkuu nikushauri. Unafanya jambo jema kufanya mazoezi ila kwa issue ya kitambi ungefanya mazoezi ya kupunguza mafuta then ndio ufanye Abs Workout. Kwasababu kitambi ni mafuta kwa iyo unaweza ukafanya Abs ukawa unaishia kupata maumivu tu lakini matokeo usiyaone.
Back To The Topic. Pitia threads za mleta mada hutaumia kichwa.
Ushauri wako?Asante mkuu
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lakini nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mimi naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwanini niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sababu ya kumuacha lakini busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasababu hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lakini nimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Hebu tulia kimya kabisa kwa zaidi ya dakika 30,baada ya hapo soma haya maelezo yako kwa makini sana baada ya hapo tafakari je unachofanya ni sawa?Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lakini nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mimi naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwanini niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sababu ya kumuacha lakini busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasababu hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lakini nimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???