Simtaki mume wangu kabisa kimapenzi, akili yangu ipo kwa boyfriend wangu

Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.

Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.

Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.

Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.

Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.

Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.

Naombeni ushauri nifanyeje???
Tukio ni lakwako ww au unamzungumzia mwingine
 
Daaa nlieahi kuwa na dem mke wamtu alikuwa akiingia kuoga bafuni ananipigia vireocall anaweka dirishani anaoga nikiwa nmwona hadi anamaliza. Akirudi ananipigia video call mmewake akiwa uchi wa mnyama namwona pia
Hawa viumbe aisee..
 
upumbavu wa namna hii unawasumbua ke wengi sana, lakini kwa maelezo haya majuto yapo karibu yako, utaenda kwa huyo kapuku baada ya miezi 2 akili itakua imekukaa sawa
 
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.

Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.

Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.

Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.

Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.

Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.

Naombeni ushauri nifanyeje???
Unachotafta utakipata, usianze kulalamikia maisha unayoyatafta
 
Una tatizo kubwa sana dada. Ni tatizo la kiroho, unahitaji neema ya Mungu lasivyo utaangamia.
Nakushauri tafuta huduma ya maombi/ dua.
Pili kata mawasiliano na wa zamani. Utaharibu sana. Utaharibu kabisa.
Umefanya kosa maana umefunga ndoa na pesa sio ndoa na mtu na dhamira yako itakuadhibu sasa usifanye makosa zaidi utaharibu zaidi.
 
Una tatizo kubwa sana dada. Ni tatizo la kiroho, unahitaji neema ya Mungu lasivyo utaangamia.
Nakushauri tafuta huduma ya maombi/ dua.
Pili kata mawasiliano na wa zamani. Utaharibu sana. Utaharibu kabisa.
Umefanya kosa maana umefunga ndoa na pesa sio ndoa na mtu na dhamira yako itakuadhibu sasa usifanye makosa zaidi utaharibu zaidi.
Nafanyaje Sasa? Nikatae matakwa ya dhamira?
 
Mkuu nikushauri. Unafanya jambo jema kufanya mazoezi ila kwa issue ya kitambi ungefanya mazoezi ya kupunguza mafuta then ndio ufanye Abs Workout. Kwasababu kitambi ni mafuta kwa iyo unaweza ukafanya Abs ukawa unaishia kupata maumivu tu lakini matokeo usiyaone.

Back To The Topic. Pitia threads za mleta mada hutaumia kichwa.
Asante mkuu
 
Hiyo hali ni ya kawaida kwa kipindi hichi cha ujauzito. Baada ya kujifungua uatarudi katika hali yako ya kawaida. Utajisikia kumpenda na kumfurahia mumeo kama awali. Ni kipindi cha mpito tu.


JESUS IS LORD!
 
Pima mimba
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lakini nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mimi naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.

Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwanini niliamua kuolewa na huyu kaka.

Namfanyia visa anichokoze nipate sababu ya kumuacha lakini busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.

Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.

Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasababu hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.

Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lakini nimeshindwa.

Naombeni ushauri nifanyeje???
 
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lakini nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mimi naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.

Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwanini niliamua kuolewa na huyu kaka.

Namfanyia visa anichokoze nipate sababu ya kumuacha lakini busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.

Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.

Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasababu hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.

Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lakini nimeshindwa.

Naombeni ushauri nifanyeje???
Hebu tulia kimya kabisa kwa zaidi ya dakika 30,baada ya hapo soma haya maelezo yako kwa makini sana baada ya hapo tafakari je unachofanya ni sawa?
Kama akili yako itakutuma kuwa unafanya sawa,basi muombe talaka mmeo acha kumsumbua bure,na kama ukigundua una makosa,muombe radhi Mungu wako,kwa uovu unaoufanya
Kumbuka hayo unayomfanyia,ndio atakufanyia huyo mchepuko wako,mara tu ukiachika na kumfata,na hapo sijui utamlilia nani
 
Kuoa au kuolewa si swala la kila mtu wengi wetu tunalazimisha tu!,

Wewe shida ndiyo zimekufanya uolewe ila sio mtu unafaa kuolewa , fanya mambo mengi ili upate pesa ila si kupitia hisia za mtu...
 
Vumilia utazoea tu. Hata sisi tulipojenga na kuhamia mtaa mwingine tuli miss sana mtaa wa mwanzo kila siku tukawa tunashinda huko ila hivi sasa tumezoea mtaa wa kale tunaupita mbali sana.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom