Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Huu mchezo nilifundishwa na mjomba wangu ambaye maisha yake kwa kiasi kikubwa alikulia China,na alijulikana Kama master G.
Mpaka hapa nilipo nina rank ya mkanda mweusi,huu mchezo siyo tu kuwa na mkanda tu maana usipokuwa makini na unaweza kupigwa na hata mwenye belt ndogo sana.
Kiukweli huu mchezo naujua vzr na hakuna kitu ambacho mjomba alinificha kwenye huu mchezo
Mimi ni mpole sana na naogopa sana ugomvi maana najua kucheza na sehemu dhaifu kwenye mwili wa binadamu
Nina miaka 30 ila mkanda mweusi nilipata nikiwa na miaka 27 toka nimeanza kucheza huu mchezo nikiwa na miaka 4 na 5 tano kama sikosei
Ila huu mkanda niliipata china baada ya kwenda mjomba kwenye pambano na kwenda kujifunza zaidi ,niliwahi kupigwa kwenye mji wa Hong Kong na master moja anaitwa master wong.na yeye ndo alinifundisha baada ya kunipiga alipenda mchezo na kuniambia ww Ni mwaafrika wa kwanza kuonyesha mchezo mzuri.
Nilirudi nchini kuendelea na masoma yangu ya uuguzi na mpaka leo.
Nimewahi kuwachallenge wengi wanaojihita master lakini hawakufua dafu, kuna master moja mchawi Sana bukoba baada ya kuona hali mbaya alipotea kimazingaombwe Ila sikumshangaa maana huo uwezo hata mimi pia nimepitia,ila kwa ambao nimewahi kuwajaribu yeye alikuwa ni mzuri ana asili ya congo ila mpaka leo ni rafiki yangu sana,ni master mzuri E.A
Nina uwezo mkubwa sana kwenye huu mchezo,ila kunijua unatakiwa uchunguzi wa kina ,sipigani kutafuta sifa,mi ni mpole zaidi ya wapole ambao nimewahi kuwaona,
Napenda kazi yangu sana usipigane kutaka kujiona unajua zaidi.
Huu mchezo nahufurahia zaidi ninapopigana na Kijiji cha watu zaidi ya 40.
Niwatakie kazi njema,hata ukija sitakufundisha huu mchezo nafundisha wale ninaowahitaji tu kuwafundisha.
Mpaka hapa nilipo nina rank ya mkanda mweusi,huu mchezo siyo tu kuwa na mkanda tu maana usipokuwa makini na unaweza kupigwa na hata mwenye belt ndogo sana.
Kiukweli huu mchezo naujua vzr na hakuna kitu ambacho mjomba alinificha kwenye huu mchezo
Mimi ni mpole sana na naogopa sana ugomvi maana najua kucheza na sehemu dhaifu kwenye mwili wa binadamu
Nina miaka 30 ila mkanda mweusi nilipata nikiwa na miaka 27 toka nimeanza kucheza huu mchezo nikiwa na miaka 4 na 5 tano kama sikosei
Ila huu mkanda niliipata china baada ya kwenda mjomba kwenye pambano na kwenda kujifunza zaidi ,niliwahi kupigwa kwenye mji wa Hong Kong na master moja anaitwa master wong.na yeye ndo alinifundisha baada ya kunipiga alipenda mchezo na kuniambia ww Ni mwaafrika wa kwanza kuonyesha mchezo mzuri.
Nilirudi nchini kuendelea na masoma yangu ya uuguzi na mpaka leo.
Nimewahi kuwachallenge wengi wanaojihita master lakini hawakufua dafu, kuna master moja mchawi Sana bukoba baada ya kuona hali mbaya alipotea kimazingaombwe Ila sikumshangaa maana huo uwezo hata mimi pia nimepitia,ila kwa ambao nimewahi kuwajaribu yeye alikuwa ni mzuri ana asili ya congo ila mpaka leo ni rafiki yangu sana,ni master mzuri E.A
Nina uwezo mkubwa sana kwenye huu mchezo,ila kunijua unatakiwa uchunguzi wa kina ,sipigani kutafuta sifa,mi ni mpole zaidi ya wapole ambao nimewahi kuwaona,
Napenda kazi yangu sana usipigane kutaka kujiona unajua zaidi.
Huu mchezo nahufurahia zaidi ninapopigana na Kijiji cha watu zaidi ya 40.
Niwatakie kazi njema,hata ukija sitakufundisha huu mchezo nafundisha wale ninaowahitaji tu kuwafundisha.