Tusiongelee habari ya Sitta...mfumo uliopo Tanzania ni mgumu mno mtu yeyote anayehitaji kufanya mabadiliko labda awe kwenye ngazi ya U-rais na hata Rais mwenyewe awe ni mtu aliyejitoa kweli na sio mtu aliotoka kwenye mitandao iliyopo. Ukitaka kubadili system iliyopo waliopo kwenye system...
Nafikiri wengi mliotoa comment ni wepesi sana wakusahau hapa tulipo leo asingekuwa kubenea na Mwakyembe sijui kama tungefika maana hata JF sina uhakika kama tulikuwa huru kutamka mafisadi kama tunavyotamka sasa. Wao ndio wame-risk maisha yao kwaajili ya maslahi ya umma. Tanzania kuna mashujaa...
He is from God.....hayo ni maneno yaliyokuwa yakisika baada ya kula fedha za kampen lakin sasa husikii tena ...mara hatupendi..haipendi nchi..yako wapi sasa? Tuzidi kumuomba Mungu atufungue kiakili we will be able to find a good leader.
Tanzania hakuna chama cha upinzani ila kuna baadhi ya watu wachache wanaojitahidi kuwa wapinzani..na hapa naweza sema mpinzani wa kweli ni dr. Slaa pekee wengine wote wanaganga njaa wako kwaajili ya maslahi yao binafsi. Watanzania sio kwamba wajinga ccm tumeichoka lakini hatuoni pa kukimbilia...
penye nia pana njia.....tusikae tu na kusema tunataka hiki au kile bila kuchukua hatua..na usiwe mwoga wa kujaribu....kushindwa ni hatua ya kujifunza. anza sasa baada ya muda utafanikiwa.
Nafikiri tatizo sio wabunge..na hata TAKUKURU kuwahoji wanafanya makosa....ila ni sheria na taratibu zilizo wekwa ndo inabidi zibadilishwe. Nakumbuka kipindi wanapitisha bajeti ilionekana kuna pesa nyingi sana ilitengwa kwaajili ya kuwalipa mawaziri na makatibu wakuu wa wizara mbalimbali kama...
Tatizo letu hamna mwenye nazo, nafikiri angekuwepo sidhani kama angeruhusu wacheze mali zake kama hivi. Na huu mchezo upo kwa muda mrefu ukiziba hapa watatafuta pengine pakuzibua....lakini Mungu yupo na wajue kuwa mshahara wa dhambi ni mauti na karama ya Mungu ni uzima wa milele
Nafikiri huu ni ukosefu wa maadili mtu kama mkuu wa wilaya ambaye ndio watu wengi tungemtegemea kwa ushauri na kama kioo cha jamii anafanya mambo kama hayo...hii ni aibu kubwa mno kwake na kwa jamii nzima ya Tunduru na pia amemuabisha aliyemteaua kwani inaonekana hakuwa makini ktk kuchagua watu...
Hii si kweli bali nikujiendekeza na kutofuata maadili mema. hakuna tamaduni wala kitabu chochote kitakatifu cha Mungu kinachoruhusu m/ume au m/mke kufanya hivyo; hiyo ni zinaa na kwa sheria za Musa mtu huyo alisitahili kupigwa mawe hadi kufa; na hata sasa pia Neno la Mungu linasema mtu asipotubu...
Hii si kweli bali nikujiendekeza na kutofuata maadili mema. hakuna tamaduni wala kitabu chochote kitakatifu cha Mungu kinachoruhusu m/ume au m/mke kufanya hivyo hiyo ni zinaa na kwa sheria za Musa mtu huyo alisitahili kupigwa mawe hadi kufa na hata sasa pia Neno la Mungu linasema mtu asipotubu...
Ningependa kujua kama huyu mtu ni mweusi au mweupe na kama ni mweupe wala hata sishangazwi na kitendo hiki maana wazungu wantudharau mno wa-ngozi nyeusi pale alijisahau hakujua kuwa jamaa sasa ndie kichwa...na nafikiri hadi leo hii wengi wa ngozi nyeupe hawaamini kuwa wanatawali na ngozi...
Nina amin hapa yalazima kuna jambo, dunia inazidi kubadilika yawezekanaje suala kama hili, kiutalaamu haliji na hata ki-imani halipo maana hakuna maandiko wala historia inayofanana na hii..hii kiboko. Lakin mi nafikiri tunajambo lakufanya huu ni wakati wakukaa na kumtafakari muumba wetu na hii...
Hapo tutakuwa tumepiga hatua kuongeza chachu ya upinzani ktk maamuzi bungeni. hongera wapiga kura wapenda maendeleo ya kweli. huu ni mfano wakuigwa na wote 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.