Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Soma PM yako, nilimshitukia siku nyingi sana na yale matusi yake ya reja reja kaa kitoto cha chekechea.
Habari ndo hiyo....mwenye akili anajua painstruth ni nani.....!
Soma PM yako, nilimshitukia siku nyingi sana na yale matusi yake ya reja reja kaa kitoto cha chekechea.
Anzisha chama mkuu, utapata wafuasi kibao tu.
Chama chochote lazima kiwe na nidhamu, kama hawatang'oa magugu leo, hakika yanayotokea CCM yatawafika, hakuna haja ya kulindana, ukimiss discipline lazima uadhibiwe.
You dont know watanzania wewe!! atakaye kuwa wakwanza ku-engineer kuanzishwa kwa chama basi wengine wataanza kusema chama chao, nasi tuanzishe chetu!!!!Kinacho nishangaza mimi ni vijana wetu wanaojiunga ktk vyama vya siasa hapa TZ. Hawa vijana wenzangu kama kweli wana nia ya dhati ni kukaa kama kikundi na kuanzisha chama chini ya mwembe, hapo watakuwa na sauti moja lakini kukuta Mzee mtei na wenzake wamewekeza ktk chama chao na wewe wanakukaribisha alafu baada ya muda unataka uwe na sauti eti kuwazidi walio kukaribisha ktk chama chao? hilo haliwezekani.
Nashauri vijana kama akina zitto, kafulila, nape na wengine, kama kweli tunataka tuwe na chama chetu ni kuanzisha chama cha vijana wa Tanzania bila kuegemea chama cho chote kilichopo na tukisajiri, hapo tutaweza kuwa na sauti na mapambano ya kweli.
I am out!
angalieni comment hii jamani!
mzee kila siku unabeba aibu, nimejaribu kukuweka katika hali uweze kujibu hoja, unajibu viroja, yet yu call urself a man!, A man can not stand even in urgument!!
whats wrong with my this IDEA?? mpaka ukajibu negative hivyo mkuu?
wewe mzee?? tutakupa uanachama usihofu
You dont know watanzania wewe!! atakaye kuwa wakwanza ku-engineer kuanzishwa kwa chama basi wengine wataanza kusema chama chao, nasi tuanzishe chetu!!!!
Tena sumu mbaya kabisa ya kuua hata mbu wanaoingia ndani ya chumba. Yaani alikuwa kaanzisha chama chake ndani ya chadema?!?!
Habari ndo hiyo....mwenye akili anajua painstruth ni nani.....!
========================================Na wewe humo? mmeshindwa kujibu hoja mnaanza kutumiana PM, mnaniogopa kiasi hicho semeni hapa kila mtu ajue
Duh!
mnataka mjadili wenyewe
ona mlivyopeleka maada kusiko
Tunajadili issue hapa na sio mtu. Kama unamjua so what? We dont care, tunataja majibu ya baadhi ya maswali. Hakuna anayesema kuwa kama anatoa siri na imethibitika ni kweli ASIFUKUZWE, achilia uongozi hata uwanachama, ila NJIA ILIYOTUMIKA NI SAHIHI?. Alipewa muda kujirekebisha?
Tunajadili issue hapa na sio mtu. Kama unamjua so what? We dont care, tunataja majibu ya baadhi ya maswali. Hakuna anayesema kuwa kama anatoa siri na imethibitika ni kweli ASIFUKUZWE, achilia uongozi hata uwanachama, ila NJIA ILIYOTUMIKA NI SAHIHI?. Alipewa muda kujirekebisha?
========================================
You have lost it. lol
========================================
You have lost it. lol
=====================================Sioni tatizo wewe ndo mshabiki. NO WONDER CCM INAPATA ASILIMIA 80%.
Tutawaongoza/tawala MILELE!
Kwi kwi kwi,
Mbavu zangu jamani. Nimesikia kuwa huyu Painstruth alikuja na matisho tele ya kufukuza watu hapa JF. Naona sasa ameanza kukimbia mwenyewe bila hata kufukuzwa.
sijaona kitufe cha senksi, ningekutwanga senksi.Kweli kabisa .. na mara nyingine watu wakiwa wanaleta vurugu na hakuna nidhani ni kuwafukuza tu.. hakuna kitakachoharibika.... One organization theory goes like ... Organizations are designed to live longer than organization members.. kwa hiyo kama chama kina misingi hatat aondoke nani the organization will be there. Haiwezekani watu mnaongea mikakati ya kichama kwenye kikao cha ndani halfu kesho yake unaikuta kwenye Jamii Forums ... no no no
Kuna tatizo gani kusema alichosema?
Fairplayer, unataka majibu ya maswali gani?