Mkuu kwa maana hiyo unaamisha kuna uwezekano binaadamu tukarudi nyuma enzi za zama za mawe. Mi nadhani kufundishana ndo kumefanya binadamu kuwa bora zaidi ya wanyama wengine na hata hiyo "theory of everything" hakuna atakayeielewa pasipo kufundishwa. Ila umezungumza kitu kimoja kizuri 'ORIGIN'
Kwa uzoefu wangu, hili swali mara nyingi huwa linaulizwa na watu ambao asilimia kubwa ya makuzi yao yalikuwa vijijini Ila walipata bahati ya kusoma elimu ya chuo Dar es salaam. So kila kitu anachokiona anajaribu kulinganisha na Dar. Anataka aone fly over, traffic lights nyingi nahisi mpaka...
Hawa jamaa wanaweza kuchukua hiyo zone kirahisi sana mana tunakoelekea polisi watagoma kwenda huko na waliopo wanaweza wasiende makazini sababu ya hofu
hii ishu ya Roma jamaa wameamua kucheza na akili zetu ila wameshindwa kuupangilia vizuri mtiririko wa matukio, ndani ya siku mbili mambo kibao mara tamko la tale, wasanii kukutana na makonda hatujakaa sawa diomond katoa nyimbo ...acha tufocus mtama hapo badae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.