Recent content by Injinia Kitini

  1. I

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    Mkuu kwa maana hiyo unaamisha kuna uwezekano binaadamu tukarudi nyuma enzi za zama za mawe. Mi nadhani kufundishana ndo kumefanya binadamu kuwa bora zaidi ya wanyama wengine na hata hiyo "theory of everything" hakuna atakayeielewa pasipo kufundishwa. Ila umezungumza kitu kimoja kizuri 'ORIGIN'
  2. I

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    Tutaishi maisha halisi na tutaishi milele[emoji1] [emoji1]
  3. I

    Sielewi sababu za Mbeya kuwa jiji

    Kwa uzoefu wangu, hili swali mara nyingi huwa linaulizwa na watu ambao asilimia kubwa ya makuzi yao yalikuwa vijijini Ila walipata bahati ya kusoma elimu ya chuo Dar es salaam. So kila kitu anachokiona anajaribu kulinganisha na Dar. Anataka aone fly over, traffic lights nyingi nahisi mpaka...
  4. I

    Uzi maalum wa kutupia picha yoyote ya Handsome boy

    Mamodal wa kibongo kwa vituko hamjambo, hapa unataka kuona picha yako ikitupiwa af wadada wateremshe sifa zao ..sifa zitawaua
  5. I

    Fid Q: Ommy Dimpoz amefanya hadi nauchukia wimbo wangu wa Fresh

    ah ngoja nimsikilize msaga sumu nishachoka na hao wapuuzi ...mwanaume mashineee yani mashine
  6. I

    Utafiti mpya waonyesha watu weusi sio watu halisi

    Naombea iwe kweli adhabu ya moto isituhusu
  7. I

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    We sio Bumija wa kitai kweli[emoji2] [emoji2] huu uzi wa maTO wapenda shule kama nyie lazima muupitie
  8. I

    Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

    Hawa jamaa wanaweza kuchukua hiyo zone kirahisi sana mana tunakoelekea polisi watagoma kwenda huko na waliopo wanaweza wasiende makazini sababu ya hofu
  9. I

    Paul Makonda: Haitafika Jumapili kabla hatujampata Roma na wenzake wanne

    kwajinsi watu wanavopigia kelele kauli ya mheshimiwa nahisi upatikanaji wa Roma utasogezwa mbele haiwezi kuwa jpili tena
  10. I

    Paul Makonda: Haitafika Jumapili kabla hatujampata Roma na wenzake wanne

    hii ishu ya Roma jamaa wameamua kucheza na akili zetu ila wameshindwa kuupangilia vizuri mtiririko wa matukio, ndani ya siku mbili mambo kibao mara tamko la tale, wasanii kukutana na makonda hatujakaa sawa diomond katoa nyimbo ...acha tufocus mtama hapo badae
  11. I

    Msaada tutani: Nimpe au nisimpe?!

    Guinness wanasuburi nini kumuweka huyu dada kwenye record zao
  12. I

    Nani mkali kati ya Diblo Dibala na Dally Kimoko

    hapa wa dot com huwezi kuona pua yake iking'aa
  13. I

    Ukiacha matumizi ya Mapambo, nini Kipo nyuma ya uthaman wa Dhahabu?

    swali linakuja kwanini ni dhahabu na sio shaba au chuma
  14. I

    Mabadiliko: Juice za Ikulu

    Duh mkuu hapo ndo umefikiria mpaka mwisho au unatania
Back
Top Bottom