Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Hongera kwa kuto kupangiwa na Mimi usinipangie niungane na ujinga ulio andikaUnauhakika na unacho kizungumza?
Halafu mi sipangiwi nianzishe Uzi wa namna gani na mtu yeyote maana bando ni langu ,simu ni yangu na chaja niliyotumia kuchaji hii simu ni yangu pia
Kama unaona mada inakuboa pita wima tusitiane unajisi mapema hivi!