maurice bernad
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 314
- 213
Aendelee kutunza sijaona sehem ambayo jamaa kamtaka kimapenzi,
Halafu bikra sio tatizo angeona tatizo angebikiriwa mda
Halafu bikra sio tatizo angeona tatizo angebikiriwa mda
Ahahahaha. Mshauri hapa hapa buanaNipe mawasiliano yake nina mengi ya kumshauri personal
Kiru! Deep stuff, asante amesikia anacheka tu hapaHapo ndio mnatakiwa mfahamu vijana Bikira sio hoja ya ndoa, bibie na Bikra yake ana china tu 33 si age ndogo atii...!! Mwanaume humuoa mwanamke anayeona atamfaa maishani bila ya kujali huyo mwanamke ana nini (ana bikira au hana,kwake ni jambo dogo) mwambie huyo Dada awe makini maana Menopause itamkutia na Bikra yake hivyo hivyo sasa sijui itakua na faida gani, kama ndoa haipo bora angejipatia japo katoto hata ka moja
Hahahahaha ur sometjing else aya buana asanteIf you are a man, never ever be a cockblock to your fellow man. May our colleague be given what made God punish us by sending us to earth.
Na apewe tu huyo jamaa.
Sawa bwasheewanaume wengine wanaweza sana mapenzi ya tamthiliya, hivi unasemaje huyu ni mpenzi wangu na hujawah kugegeda? Inapitaje kipindi chote hicho bila kuona ndani na bado umo tuu... lazima utoe mzigo ndiyo mambo yakae sawa
Ivo ee?! Hehehe sio kila mwanaume ni dikteta!Aendelee kutunza sijaona sehem ambayo jamaa kamtaka kimapenzi,
Halafu bikra sio tatizo angeona tatizo angebikiriwa mda
Ndio bwasheekiruuu yesu namaria!!! 33 bk
We bwana kama hauna msaada wapishe wenzio usilete u dikteta kwenye msaada bruh!Story hizi zinatakiwa kiletwa na mhusika sasa wewe uleta hapa ili iweje? Au wewe ndie mhusika?
Angeonyesha bwana hata kwa kujaribu kumvua nguo si lazma atumie nguvu...Ivo ee?! Hehehe sio kila mwanaume ni dikteta!
Ndio bwashee
We bwana kama hauna msaada wapishe wenzio usilete u dikteta kwenye msaada bruh!
Hapo ndio mnatakiwa mfahamu vijana Bikira sio hoja ya ndoa, bibie na Bikra yake ana china tu 33 si age ndogo atii...!! Mwanaume humuoa mwanamke anayeona atamfaa maishani bila ya kujali huyo mwanamke ana nini (ana bikira au hana,kwake ni jambo dogo) mwambie huyo Dada awe makini maana Menopause itamkutia na Bikra yake hivyo hivyo sasa sijui itakua na faida gani, kama ndoa haipo bora angejipatia japo katoto hata ka moja
Neno dicteta linasehemu zake kutumika...Ivo ee?! Hehehe sio kila mwanaume ni dikteta!
Ndio bwashee
We bwana kama hauna msaada wapishe wenzio usilete u dikteta kwenye msaada bruh!
Mwambie akaolewe na njemba nyingine..hiyo haina malengo nae
Hahahahha.. we umenichekesha. Sio awekwe kwenye Biblia?!Guinness wanasuburi nini kumuweka huyu dada kwenye record zao
Ahahahaha, Haleluyah! Kwani si Condom zipo bro?! Au?!Akae akijua, akimpa tu BK inatoka na hapohapo mimba na pia kuwa kinyume na Bwana wa mabwana!
We bwana acha kiki, Bikra zote 2 anazo sehemu zote za siri!labda ni BK ya masikioni nitakua nimesoma vibaya
Meona ee?! Ni kweli kabisa anampotezea tu muda!Mwambie akaolewe na njemba nyingine..hiyo haina malengo nae
We bwana acha kutudanganya, Meno Pause miaka 31?! Na wa miaka 52-55 wanasemaje labda?! Mbona Sarah wa kwenye Biblia alizaa na miaka 90?!Menopause hatari sana. Na ndio umri wenyewe huo