Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Tlg

JF-Expert Member
Apr 3, 2017
804
608
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
 
Katika kutafuta kujua ilikuwaje tukawepo duniani na kwa nini tupo, sayansi imepiga hatua nyingi na katika nyakati zote dini ilikuwepo.
Hata katika babeli ya Nebukadneza ambapo kuliendelea sana kwa nyakati hizo bado walibadilisha miungu.
Hakuna jamii ya wanadamu waloishi zama ndefu bila kuwa na dini. Tumeona kipindi kifupi cha ukomunisti hakijafua dafu tufani za dini. Zinabadilika tu aina ila nahisi zitakuwepo.
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
umeshindwa kupangilia hoja.
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Mkuu theory nadhani unaijua vizuri maana yake its just a proposal that not scientifally approved that means it take a time theory becoming laws
Mpaka ifike hapo sio Leo kutoka dunia ni flat mpaka duara ilichukua muda gani?
Pili umevisoma vitabu vinavyotoa evidence in existence of God? Upo upande upi
 
Suala la dini litaendelea kusimama madhubuti bila kuyumbishwa na mambo ya nyakati.Na hao wanasayansi kuhoji uwepo wa Mungu ni kiburi tu,mbona hoja ziko nyingi za kuthibitisha uwepo wa Mungu? Kwa mfano hao wanaoitwa wanasayansi sayansi wameikuta au wamekuja nao? Kama sayansi wameikuta asili yake wapi? Narudia kusisitiza,dini hasa uislamu,haitayumbishwa na hao wanasayansi.
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Watu wataujua ukweli
Hivyo wataacha kuabudu maana kuabudu ni umbumbumbu wa hali ya mwisho wa mtu kushindwa kujiajua.


Wataanza kujitengezea maisha hapa hapa duniani huku wakiwa wabunifu kwa kuhakikisha wanatengeneza vitu kwanza Ndio wanawaza.

Haya maisha magumu hayatakauwepo tena maana ujinga utatutoka tutaishi maishi halisi yanayohitajika
 
bado hoja zilizokuja na mada nyepesi sana, hebu ngoja nisubirie wachangiaje wajazie nyama nyama angalau.
 
Watu wataujua ukweli
Hivyo wataacha kuabudu maana kuabudu ni umbumbumbu wa hali ya mwisho wa mtu kushindwa kujiajua.


Wataanza kujitengezea maisha hapa hapa duniani huku wakiwa wabunifu kwa kuhakikisha wanatengeneza vitu kwanza Ndio wanawaza.

Haya maisha magumu hayatakauwepo tena maana ujinga utatutoka tutaishi maishi halisi yanayohitajika
Tutaishi maisha halisi na tutaishi milele
 
Tutaishi maisha halisi na tutaishi milele
Maisha halisi sio milele. Maisha halisi ni maisha ambayo hayajatengenezwa na wala huhitaji kufundishwa ili uishi.

Umewahi kuona ng'ombe au mnyama yeyote anafundishwa kunyonya? Kama hapana, basi yale ndo maisha halisi. Hakuna kitu wanyama wanafundishana. Yale ndo maisha halisi. Hata sisi tutaishi maisha hayo.

Kinachotuumiza ni watu wengi kuto kujiamini na kufuata mkumbo na kutegemea mawazo ya watu wengine
 
Back
Top Bottom