Recent content by Graucho

  1. G

    Naomba msaada kuhusu loans kwa ongoing students

    Kama nitaenda bodi kwa sasa itawezekana?
  2. G

    Naomba msaada kuhusu loans kwa ongoing students

    Kama nitaenda bodi yawezekana kwa sasa?
  3. G

    Naomba msaada kuhusu loans kwa ongoing students

    Habari wadau! Naomba msaada kwa ongoing student ambaye anamkopo kwa miaka miwili iliyopita ila mwaka huu hajafanya application tena baada website ya Heslb kublock; ili kuendelea kupata; 1)hivi ni lazima sana kuapply au kama jina lipo hamna shida tena kule bodi? 2) kama ni lazima ukienda sa...
  4. G

    Wale wote mliopo kwenye previous lonees na mliokosa kabisa mkopo, mdodosaji bado nipo

    vp kama upo ndani ya mkopo kwa miaka miwili ilyopita ila dis yr umechelewa kuomba, ukienda sa hizi kuomba utakubaliwa au too late?
  5. G

    CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

    Huyu Sunzu hamna kabisa, magoli yote aliyokosa eti anafunga offside..hakuwa kwenye form kabisa tangu mashindano yanaanza..Poleni sana watani..
  6. G

    Wana Kagera Njooni Hapa Tutete, Tujadili, Tuzungumze, Tufanye Maamuzi, na Tuchuke Hatua!

    Hapo kaka umenena...yaan uvivu kutojituma na kupenda kuchagua kazi laini ndo imeturudisha nyuma..ebu fikiria mwanamke wa kihaya mwbie hata atembeze ndiz mjin au afanye umachinga hawawezi...kazi ni kujifanya wanachagua kazi na kutojituma kabisa..kazi ni majungu na kutegemea migomba ambayo sa hizi...
  7. G

    Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

    vp Tz nani ametuwakilisha mwaka huu?
  8. G

    Mechi ya Azam na Mtibwa kurudiwa!

    kweli soka la bongo tunababaisha kweli..wametoa maamzi yao ila kikatiba ya TFF na CAF zinapingana kabisa hayo maamzi kutokana na mazingira ya mechi yenyewe., Azam wasikubali wakate rufaa tena na watashinda na Mtibwa kushushwa daraja..wait time will tell kwan viongozi wa Azam ni makini sana.
  9. G

    Tito Vilanova Kocha mpya Fc Barcelona.

    Ni uamzi sahii, ni vigumu kufundisha timu ambayo imetwaa kila kitu kwenye soka, four years 13 cups na bado anaweza ongeza jingne la 14 kama atachukua Copa delay...ts a club record.Atafute changamoto nyingne.
  10. G

    Free StarTV, ITV na Chanel 10 kwenye Star Time

    vp moshi ni frequency gan? Make hizo zinagoma.
  11. G

    Njia za kuepuka usumbufu wa simu

    Thanks kaka! Naona hiyo iko in general.. Vp kama unataka kublock no. moja au mbili za simu unafanyaje?
  12. G

    Njia za kuepuka usumbufu wa simu

    Thanks kaka! Ila naona hiyo iko in general..Vp unaweza nipatia jinsi ya kublock no. ya simu ya mtu mmoja hasikupate hewani?
  13. G

    Bukoba tour report

    Vp ukufika maeneo ya Kashai au Rwamishenye ?
  14. G

    Je ugovi wa mume na mke ndani ya nyumba unasababisha kutokutoaa matumizi?

    ebu sahihisha heading yako kwanza,,,ilo neno( ugovi ) limebadili kabisa maana ya hicho unachomaanisha.
  15. G

    Mgomo mwingine wa madaktari hautakubalika!

    Inaonesha kabisa hii ishu ni ngeni kwako..jiulize kwanza kwa nini Blandina Nyoni na mwenzake walisimamishwa kazi, ukijua hilo nadhani utajua kwa nini na hawa tunataka waondolewe.
Back
Top Bottom