ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja