Njia za kuepuka usumbufu wa simu

Njia za kuepuka usumbufu wa simu

ERIC JOSEPH

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
567
Reaction score
55
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja
 
Kama hutaki usumbufu pia unaweza ku forward simu zote na ukapata sms pindi mtu akikupigia *21#0754125125#ok hii ni kwa voda. Kwa zantel ni *21#+255125#ok. Ukitaka kutoa ##002#ok.
Sim itakua haipatikani pindi mtu atakapo kupigia ila wewe utapata sms ya sim aliyokupigia kwa mda huo huo.
 
je kwa sisi tunaotumia tigo inakuwaje hapo ndg
Kama hutaki usumbufu pia unaweza ku forward simu zote na ukapata sms pindi .mtu akikupigia *21#0754125125#ok hii ni kwa voda. Kwa zantel ni *21#+255125#ok. Ukitaka kutoa ##002#ok.
Sim itakua haipatikani pindi mtu atakapo kupigia ila wewe utapata sms ya sim aliyokupigia kwa mda huo huo.
 
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja
ahsante kwa taarifa
 
Samahani mkuu, hapo unakuwa umezuia namba za mtu yeyote asikupate hewani au ni namba maalum tu mfano ya mtu anayekuletea usumbufu usio wa lazima?
 
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja

Yaani inablock all incoming call?
 
Wakuu,
Naomba ile njia ya kupata notification ya simu zilizokupigia wakati simu yako imefungwa au haipatikani kwa mtandao wa tigo, airtel na voda.
Asanteni!
 
Mkuu mi nimejaribu hiyo ikawa inasema password error na mara ya tatu ikawa blocked barring password. Barring password kama nimeshaibadilisha napaswa ni2mie ile, eg.*35*1234# badala ya *35*0000#? Na unblock hizo barring password nafanyaje?
 
Wakuu,
Naomba ile njia ya kupata notification ya simu zilizokupigia wakati simu yako imefungwa au haipatikani kwa mtandao wa tigo, airtel na voda.
Asanteni!

Zantel: *62#+255125#ok. Voda *62#+255754125125#ok. Kwa Tigo na airtel sifaham.
 
mkuu hebu fanya maujanja tupate na Airtel na Tigo
 
Kama hutaki usumbufu pia unaweza ku forward simu zote na ukapata sms pindi mtu akikupigia *21#0754125125#ok hii ni kwa voda. Kwa zantel ni *21#+255125#ok. Ukitaka kutoa ##002#ok.
Sim itakua haipatikani pindi mtu atakapo kupigia ila wewe utapata sms ya sim aliyokupigia kwa mda huo huo.

Je vipi kuitoa tena? Make mimi tayari nimefanya hivyo nimeshindwa kuitoa tena.
 
mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja

Thanks kaka! Ila naona hiyo iko in general..Vp unaweza nipatia jinsi ya kublock no. ya simu ya mtu mmoja hasikupate hewani?
 
hapo unakuwa umezuia simu zote na sm zote.au ni sawa na kuwa umezima sm lakin hapo we unaweza kupiga na kutuma sms
Samahani mkuu, hapo unakuwa umezuia namba za mtu yeyote asikupate hewani au ni namba maalum tu mfano ya mtu anayekuletea usumbufu usio wa lazima?
 
Back
Top Bottom