jackson kanene
Member
- Jan 7, 2012
- 92
- 27
jaman simba
Dah....................Poleni sana watani.......Ndo ukubwa huo
Afadhali lkn Sunzu katoa gundu angalau kafunga goli la offside
ushauri au?
Huyu Mtangazaji gani? Hana shamra shamra kama akina Ahmed Jongo; labda nimeondoka Bongo Muda Mrefu
Huyu Mtangazaji gani? Hana shamra shamra kama akina Ahmed Jongo; labda nimeondoka Bongo Muda Mrefu
simba hoi na dk 90+? nauliza tu maana hapa nipo kenye dala dala narudi break ya kwanza ni dompo tu kujiliwaza...
poleni sana wana simba..
Parapanda italia parapandaa, parapanda italia parapanda; wateule watakuwa wamekwisha nyakuliwa, kumlaki Bwana ... mawinguni!
Bado Azam 3-1 Simba dakika 90 zimeongezwa 3 tu za kujinasua.