Matope JF-Expert Member Apr 29, 2009 892 679 May 6, 2012 #1 mashindano ndo yameanza live ss hv Dstv channel no 198 angalieni wadau
n00b JF-Expert Member Apr 10, 2008 1,006 2,667 May 6, 2012 #2 Nasubiri kwa hamu kujua nani mwakilishi (wawakilishi) wa Tz
n00b JF-Expert Member Apr 10, 2008 1,006 2,667 May 6, 2012 #4 Wameingia kwa Kenya na Nigeria kwanza hahahaha
Matope JF-Expert Member Apr 29, 2009 892 679 May 6, 2012 Thread starter #5 hahaaaaaaaa nasikia Joketi wacha tusubili tuone
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 May 6, 2012 #6 sijui Tz itawakilishwa na nani lol
n00b JF-Expert Member Apr 10, 2008 1,006 2,667 May 6, 2012 #7 Ebanaeee, Jokate nimemtafta kwenye sim hapatikani, labda kweli ndo mshiriki?
ossy JF-Expert Member Apr 7, 2011 872 143 May 6, 2012 #8 bado mkuu,ndo wametambulishwa wakenya na wengine bongo bado,but inavyoonekana ni watu wa music indusry ndo wanaoingia mwaka huu...
bado mkuu,ndo wametambulishwa wakenya na wengine bongo bado,but inavyoonekana ni watu wa music indusry ndo wanaoingia mwaka huu...
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,599 May 6, 2012 #10 Ameingia dada kutoka Nigeria anaitwa Goldie (mwanamuziki), ni kichaa kweli kweli. Anasema kwenye mambo ya MMU yeye anahusudisha self service!!
Ameingia dada kutoka Nigeria anaitwa Goldie (mwanamuziki), ni kichaa kweli kweli. Anasema kwenye mambo ya MMU yeye anahusudisha self service!!
mansakankanmusa JF-Expert Member Sep 30, 2010 4,163 787 May 6, 2012 #11 stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli.
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,599 May 6, 2012 #13 South Africa...model Barbz ndiye mwakilishi wao (5th out 7 stars)!!
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 May 6, 2012 #14 mansakankanmusa said: stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli. Click to expand... Huo upuuzi unasaidia au kuelimisha kipi kwa Watanzania hata wauweke?
mansakankanmusa said: stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli. Click to expand... Huo upuuzi unasaidia au kuelimisha kipi kwa Watanzania hata wauweke?
ossy JF-Expert Member Apr 7, 2011 872 143 May 6, 2012 #15 south africa ni model wakuu,so ile fununu ya jokate yaweza kuwa kweli au? au yupo kitaa bongo????
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,599 May 6, 2012 #17 Huyu dada wa SA anaonekana mwoga sana ukilinganisha na Mnigerua