Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Nasubiri kwa hamu kujua nani mwakilishi (wawakilishi) wa Tz
 
hahaaaaaaaa nasikia Joketi wacha tusubili tuone
 
Ebanaeee, Jokate nimemtafta kwenye sim hapatikani, labda kweli ndo mshiriki?
 
bado mkuu,ndo wametambulishwa wakenya na wengine bongo bado,but inavyoonekana ni watu wa music indusry ndo wanaoingia mwaka huu...
 
Ameingia dada kutoka Nigeria anaitwa Goldie (mwanamuziki), ni kichaa kweli kweli.

Anasema kwenye mambo ya MMU yeye anahusudisha self service!!
 
stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli.
 
south africa ni model wakuu,so ile fununu ya jokate yaweza kuwa kweli au? au yupo kitaa bongo????
 
Back
Top Bottom