Matope JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 892 Reaction score 686 May 6, 2012 #1 mashindano ndo yameanza live ss hv Dstv channel no 198 angalieni wadau
n00b JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 1,014 Reaction score 2,685 May 6, 2012 #2 Nasubiri kwa hamu kujua nani mwakilishi (wawakilishi) wa Tz
G Graucho Member Joined Nov 14, 2011 Posts 53 Reaction score 4 May 6, 2012 #3 vp Tz nani ametuwakilisha mwaka huu?
n00b JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 1,014 Reaction score 2,685 May 6, 2012 #4 Wameingia kwa Kenya na Nigeria kwanza hahahaha
Matope JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 892 Reaction score 686 May 6, 2012 Thread starter #5 hahaaaaaaaa nasikia Joketi wacha tusubili tuone
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,229 May 6, 2012 #6 sijui Tz itawakilishwa na nani lol
n00b JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 1,014 Reaction score 2,685 May 6, 2012 #7 Ebanaeee, Jokate nimemtafta kwenye sim hapatikani, labda kweli ndo mshiriki?
ossy JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 872 Reaction score 143 May 6, 2012 #8 bado mkuu,ndo wametambulishwa wakenya na wengine bongo bado,but inavyoonekana ni watu wa music indusry ndo wanaoingia mwaka huu...
bado mkuu,ndo wametambulishwa wakenya na wengine bongo bado,but inavyoonekana ni watu wa music indusry ndo wanaoingia mwaka huu...
n00b JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 1,014 Reaction score 2,685 May 6, 2012 #9 I like the Nigerian girl 🙂
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,652 May 6, 2012 #10 Ameingia dada kutoka Nigeria anaitwa Goldie (mwanamuziki), ni kichaa kweli kweli. Anasema kwenye mambo ya MMU yeye anahusudisha self service!!
Ameingia dada kutoka Nigeria anaitwa Goldie (mwanamuziki), ni kichaa kweli kweli. Anasema kwenye mambo ya MMU yeye anahusudisha self service!!
mansakankanmusa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 4,161 Reaction score 801 May 6, 2012 #11 stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli.
PayGod JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 1,259 Reaction score 64 May 6, 2012 #12 wakenya wamepeleka prezoo
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,652 May 6, 2012 #13 South Africa...model Barbz ndiye mwakilishi wao (5th out 7 stars)!!
zomba JF-Expert Member Joined Nov 27, 2007 Posts 17,240 Reaction score 3,936 May 6, 2012 #14 mansakankanmusa said: stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli. Click to expand... Huo upuuzi unasaidia au kuelimisha kipi kwa Watanzania hata wauweke?
mansakankanmusa said: stesheni za Tanzania hovyo sana, ving'amuzi having'amui mashindano yani tuko nyuma sana kwa kweli. Click to expand... Huo upuuzi unasaidia au kuelimisha kipi kwa Watanzania hata wauweke?
ossy JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 872 Reaction score 143 May 6, 2012 #15 south africa ni model wakuu,so ile fununu ya jokate yaweza kuwa kweli au? au yupo kitaa bongo????
PayGod JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 1,259 Reaction score 64 May 6, 2012 #16 sasa ni south africa
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,652 May 6, 2012 #17 Huyu dada wa SA anaonekana mwoga sana ukilinganisha na Mnigerua
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,652 May 6, 2012 #18 Zambia ni mwanamuziki Mampi!
PayGod JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 1,259 Reaction score 64 May 6, 2012 #19 mzambia sasa anamakeke huyo
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,652 May 6, 2012 #20 Mzambia - engaged