Hiyo ndiyo demokrasia, sio lazima kila kitu wakubaliane wote, na hii siyo kwa upinzani tu bali hata kwa chama tawala hawatakiwi kila kitu kupinga kwa kuwa kimetoka upinzani au kuunga mkono kila kitu kwa kuwa kimetoka chama tawala, no, wote wanatakiwa kupinga au kukubali hoja baada ya kuichambua...