Frank Lwakatare
Member
- Jun 20, 2011
- 24
- 18
Polisi
Mnaniambiaje kuhusu utendaji wa jeshi la polisi.
Kivipi?Mnaniambiaje kuhusu utendaji wa jeshi la polisi.
la nchi gani?Mnaniambiaje kuhusu utendaji wa jeshi la polisi.
Brother wewe bachelor nini? Hivi kweli unaweza kuja na swali la kitoto kama hili? Wakati huu uliopoteza si ungeutumia kuwasaidia watoto kuamliza homework zao?
Wanafanya kazi nzuri sana, tumeona wakidhibiti fujo za CDM kule Arusha, tumeona wakimlaza sentro Mwenyekiti wa cdm na kumfikisha mahakamani 750Km away on time. Wanastahili sifa kwa hayo.
There is a big room for improvement, no doubt. Saidi Mwema analibadili kidogo kidogo, si kama lilivyokuwa wakati wa nyerere na mkapa.
Sijakuelewa au lugha gani hiyo. Mie niandikie Kiswahili, English, Portuguese, Arabic, naweza nikakuelewa. Sorry dear.Unawashwaga na CDM wewe?
Fox hicho mbona ni kiswahili cha kawaida sana! Anasema 'CDM huwa inakuwasha'! Na ninakubaliana nae.Sijakuelewa au lugha gani hiyo. Mie niandikie Kiswahili, English, Portuguese, Arabic, naweza nikakuelewa. Sorry dear.
Fox hicho mbona ni kiswahili cha kawaida sana! Anasema 'CDM huwa inakuwasha'! Na ninakubaliana nae.
Nyerere na Mkapa hawajawahi kuwa IGPs kwa hiyo huwezi kulinganisha utendaji wao na IGP said mwema, it's absolutely irrelevant! be honest as well as logical by comparing the image of tz police force under former IGP omar mahita to that of the incumbent IGP said mwema.Wanafanya kazi nzuri sana, tumeona wakidhibiti fujo za CDM kule Arusha, tumeona wakimlaza sentro Mwenyekiti wa cdm na kumfikisha mahakamani 750Km away on time. Wanastahili sifa kwa hayo.There is a big room for improvement, no doubt. Saidi Mwema analibadili kidogo kidogo, si kama lilivyokuwa wakati wa nyerere na mkapa.
umesahau cuf kule zanzibar 2000-2001Wanafanya kazi nzuri sana, tumeona wakidhibiti fujo za CDM kule Arusha, tumeona wakimlaza sentro Mwenyekiti wa cdm na kumfikisha mahakamani 750Km away on time. Wanastahili sifa kwa hayo.
There is a big room for improvement, no doubt. Saidi Mwema analibadili kidogo kidogo, si kama lilivyokuwa wakati wa nyerere na mkapa.