mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,363
- 224
Tusimlaumu Pinda tu wa kujilaumu ni sisi wenyewe tu kwanini tunaipitisha kila baada ya miaka 5 hicho ndicho cha kujiuliza!!!! tukiwatoa madarakani ujue haya tunayolalamikia hayataisha kamwe. Cha kujifunza ni kwamba tangia nchi ipate uhuru haijawahi wekwa heshima nchi hii kwa Kiongozi kuwajibishwa na wananchi....Ndio maana kila mwaka wanafanya madudu yake yale tu na hata hawaogopi.