kwa kuwa pm anatetea posho, nawaomba wabunge wa chadema muwashe moto zaidi. pm ana nyumba dodoma amepewa na serikali na akiwa hapo yupo nyumbani. je analipwa per diem ya nini wakati hiyo ni posho ya kuwa nje ya nyumbani? hii pia itumike kwa mawaziri na wabunge ambao nyumbani kwao ni dodoma.