Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
NGO gani???? NGO's ndo immune kwa corruption???? Acheni kuandika email na kupiga simu bila uhakika wa hili.Mimi naandika watujengee Power plants iongezee kilowats gridi ya taifa tuachane na mchezo wa kukatakata umeme.WanaJF tuache kulalamika tuchukue hatua! Fedha za radar serikali inazotaka irudishiwe ni dhuluma tupu! Tuandike emails, sms , piga simu hata kwa kiswahili kupinga serikali isipewe fedha ilizoitoa kwa ufisadi. Hapa nimeweka anwani za BAE wanashughulikia namna fedha hizo zinaweza kurejeshwa kwa wananchi wa Tanzania ili ziwanufaishe. Andika kwa mfano: Mimi ni mtanzania napinga sina imani na serikali kufanya matumizi bora tafadhali fedha hizi zirudishiwe umma kupitia NGOs Lindsay Walls, BAE SystemsTel: +44 (0)1252 383074 Mob: +44 (0)7793427582Lindsay.walls@baesystems.comLeonie Foster, BAE SystemsTel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168