Recent content by Francis Godwin

  1. Francis Godwin

    Kikwete kufanya uteuzi wa madc na ma rc ktk mikoa mipya kabla ya Disemba

    RAIS Jakaya Kikwete ameagiza viongozi wa wilaya mpya wa WANGING'OMBE mkoa mpya wa Njombe kuondoa MVUTANO wa makao makuu ya wilaya hiyo ambapo na kuwa Kama watashindwa kuafikiana Kati ya Kata ya WANGING'OMBE na kata ya ugwachanya basi ataamua yeye,huku akidai kuwa wakuu wa wilaya wapya na wale...
  2. Francis Godwin

    Mkurugenzi wa Shule ya sekondari EFATHA matatani kwa rushwa

    Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (TAKUKURU) asubuhi hii imemfikisha mahakani mkurugenzi mtendaji wa Shule ya sekondari ya EFATHA iliyopo mjini Iringa kwa thumb za rushwa. Wadau nipo mahakamani hap a najaribu kuisaka habari hii ili kuweza kuwajuza kwa kin a zaidi japo
  3. Francis Godwin

    kIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI LUDEWA CHAVUNJIKA

    Madiwani wa Halmadhauri ya wilaya ya Ludewa mkoa mpya wa Njombe (Iringa) leo wamegoma kuendelea na kikao cha tathimini ya robo mwaka juu ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika Halmashauri hiyo baada ya wakuu wa Idara kushindwa kutekeleza maagizo mbali mbali ambayo waliagiza katika vikao...
  4. Francis Godwin

    Mbunge wa Mbalizi (CCM) mbaroni kwa tishio la mauaji

    Mbunge anaitwa Modestus Dickson Kilufi wa jimbo la Mbarali Mbeya sio mbalizi
  5. Francis Godwin

    Mgombea udiwani wa chadema iringa afanyiwa hujuma

    Edwin Sambala mgombea udiwani wa kata ya Gangilonga (Chadema) akiwa ameduwaa ndani ya ofisi ya msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata hiyo ambaye alitelekeza ofisi yake na kwenda kata ya KItanzini Viongozi wa Chadema mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa wa kwanza kulia,mbunge wa...
  6. Francis Godwin

    Takukuru iringa yamng'ang'ania mwenyekiti wa ccm

    Mkurugenzi wa TAKUKURU,Bw.Edward Hosea TAASISI ya kupambana na kuzuia Rushwa nchini (TAKUKURU) mkoa wa Iringa imemfikisha mahakamani mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mtaa wa Kihodombi katika Manispaa ya Iringa Aldo Kaduma (50)kwa tuhuma za kujifanya afisa wa taasisi hiyo na...
  7. Francis Godwin

    Hali ya kiafya ya mama mzazi wa mbunge Chiku Abwao si nzuri

    Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Mhe.Chiku Abwao akimuuguza mama yake mzazi Tatu Abdallahman (79) ambaye amerejeshwa hospitali na kutibiwa nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa mgonjwa huyo anasumbuliwa na matatizo ya mshtuko wa moyo na kupelekea kupooza mguu wa kushoto na...
  8. Francis Godwin

    Mbunge kaugua ghafla

    Bungeni asubuhi ya leo mambo si swari mbunge aanguka ghafla katika kiti chake Kikao cha bunge la bajeti kinachoendelea mjini Dodoma asubuhi hii kimesimama kwa muda baada ya mbunge mmoja mwanamke kuanguka na kupoteza fahamu wakati mbunge wa jimbo la Ludewa Mhe.Deo Filikunjombe...
  9. Francis Godwin

    Hawa ndio wajumbe wapya wa bodi ya mct

    Rais wa bodi ya MCT Jaji Kisanga (kushoto) akipongezwa namjumbe wa bodi hiyo aliyeshinda kwa kishindo Keneth Simbaya ambaye ni Rais wa UTPC na mwenyekiti wa IPC Rais wa MCT Jaji Kisanga (kulia) akikaribishwa katika kiti chake baada ya kuchaguliwa kwa kura za kishindo kuongoza MCT...
  10. Francis Godwin

    CHADEMA kidedea kijiji cha Kabiga Geita

    MCT YAFANYA MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WAKE JAJI KISANGA ,SIMBAYA MAMBO SAFI... Rais wa bodi ya MCT Jaji Kisanga (kushoto) akipongezwa namjumbe wa bodi hiyo aliyeshinda kwa kishindo Keneth Simbaya ambaye ni Rais wa UTPC na mwenyekiti wa IPC Rais wa MCT Jaji Kisanga (kulia)...
  11. Francis Godwin

    Mct yafanya mabadiliko makubwa ya uongozi wake jaji kisanga ,simbaya mambo safi.

    Rais wa bodi ya MCT Jaji Kisanga (kushoto) akipongezwa namjumbe wa bodi hiyo aliyeshinda kwa kishindo Keneth Simbaya ambaye ni Rais wa UTPC na mwenyekiti wa IPCRais wa MCT Jaji Kisanga (kulia) akikaribishwa katika kiti chake baada ya kuchaguliwa kwa kura za kishindo kuongoza MCT...
  12. Francis Godwin

    Mbunge filikunjombe atumia michezo kuhamasisha maendeleo ludewa

    Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Iringa Deo Filukunjombe akakabidhi zawadi ya Ng’ombe na kombe kwa mabingwa wa mashindano ya Filikunjombe Cup kata ya Lupanga timu ya kijiji cha Lupanga timu hiyo ilifanikiwa kutwaa ubingwa huo baada ya kuichapa timu ya Rusala kwa jumla ya goli 2-0...
  13. Francis Godwin

    Aliyewacharanga mapanga waandishi aanza maisha mapya jela...

    Nashukuru sana kwa kukaribishwa katika libeneke hili
  14. Francis Godwin

    Mbowe arejesha Shangingi la Kiongozi wa Upinzani Bungeni

    Nimfano mzuri sana inapaswa wabunge wengine na mawaziri kuiga siku zote safari huanza kwa hatua hii ni hatua ipo siku safari itafika ukomo wake
  15. Francis Godwin

    Aliyewacharanga mapanga waandishi aanza maisha mapya jela...

    Maisha mapya jela kwa kushambulia wanahabari Mfungwa Shoto Shabani (mwenye suti) ambaye amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja na kulipa faini ya sh.200,000 na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Njombe, kwa kosa la kuwashalia wanahabari julai 15,2009, Lupembe wilayani Njombe...
Back
Top Bottom