Mbunge kaugua ghafla

Mbunge kaugua ghafla

halafu si wanae majimarefu humo ndani lol???????
wamtumie sasa lol
 
Nimeona namna ambavyo hatuko sharp kwenye huduma ya kwanza. Hata kumtoa pale imechukua muda mrefu na kusababisha kutokuwa na usikivu bungeni hata Mbunge aliyekuwa anachangia ilibidi akatishwe mara kwa mara kwa sababu ya kelele. We are not serious!
yule mama anakilo nyingi sana hivyo walikuwa wanategeana kumbeba.
 
Duh,asiamke tu ili nijiandae kugombea,....
bahati ilyoje ijumaa hii
 
[h=3][/h]
Bungeni asubuhi ya leo mambo si swari mbunge aanguka ghafla katika kiti chake
Kikao cha bunge la bajeti kinachoendelea mjini Dodoma asubuhi hii kimesimama kwa muda baada ya mbunge mmoja mwanamke kuanguka na kupoteza fahamu wakati mbunge wa jimbo la Ludewa Mhe.Deo Filikunjombe akichangia .Jina bado halijafahamika na chama chake
 
mbunge gani huyo .. alikuwa anatoa hoja au anajibu maswali au ilikuwaje ???? tupeni ufafanuzi
Alikuwa amekaa tu wakati mbunge wa njombe alikuwa akichangia hoja,pamoja na yote mbunge huyo hakucheza fair play aliendelea kuongea mpaka m'kiti alipomsimamisha kuongea na haikutosha jamaa aliadai muda wake utunze
 
chadema hawa,mta wamaliza watu kwa presha jamani
 
Lazima atakuaa ni mbunge wa CCM kwakua ndio wanaoongoza kwakuanguka ovyo akiongoza mwenyekiti wao JK
 
Profesa maji marefu anafanya kazi gani bungeni si atoe tiba maramoja hapo
 
Nimeambiwa nisiseme rest in peace kwa vile RIP ni kwa waliokufa tu sasa yeye sijui nimwambieje rest in............
 
Hajajulikana tu ni nani?Mbona mwatuweka roho juu tulio mbali na press?
 
Back
Top Bottom