Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Kwani Kagame ni raisi wa Brundi tangu lini?
Hii nchi iko wapi????
Kwani Kagame ni raisi wa Brundi tangu lini?
kasahidie ndugu zako wanashindia uji wewe kupiga domo kwa magamba kajenge kwenu kwanza MBOWE pesa inamtumikia siyo weye unaeitumikia pesa.hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
Kaungane na magamba kusoma nyakati tafadhali.hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
huyu ni dume,,majimshindo kama unamkumbuka...njia ya mwongo ni fupiHivi nyie mapashkuna wengine mna ID's NGAPI NGAPI?
Kumbukumbu zinaonyesha umejiunga juzi 9 May 2011, halafu hapohapo unaongelea habari za Brazameni wa zamani!...
Unaidhalilisha hiyo buibui uliyovaa!
hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
HahAaaaa, unanchekesha babuwee, hata mkjj ana I'd zaidi ya moja humu na saa zingine anajijibu mwenyewe. Niwache kama nilivyo na nilishatangaza zamani kuwa nipo humu kabla ya wengi sana, nipo humu toka Jambo babuwee unanini?Join Date : 9th May 2011Posts : 1,402Thanks 285Thanked 121 Times in 105 PostsRep Power : 23Hapo kwenye red na muda uliojiunga inaonekana ulikuwepo zamani lakini ukaamua kujivua gamba.
Mbowe bwana anaponda mashangingi wakati kachukuwa milioni 90 kwa ajili ya gari, kachakuwa tena mkopo wa milioni 200 benki mdhamini wake ni ofisi ya katibu mkuu wa bunge, acha usanii bwana
Umekosea, jaribu tena. Shilingi kumi na mbili na thumni.huyu ni dume,,majimshindo kama unamkumbuka...njia ya mwongo ni fupi
if you are a politician cheap popularity is part of politics. CCM basi watafute nao umaarufu ambao una gharama kidogo.