Moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye muziki wa bongo fleva jinsia ya kike baasi huwezi kumuacha Vanessa mdee ( v-money), lady jaydee ( komando) na wengine wengi.
Leo naomba nimuongelee maua sama aiseh bidada anajua muziki kiukweli sijawahi jutia kumsikiliza kuanzia kwenye mahaba niue na...