StraTon MemPhis GhaZar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 592
- 386
Sio haikufikirika..... sema sisi ndo tuna kawaida ya kutoamini from zero to hero...Haikufikirika kama ingekuwa ndivyo ilivyo
Ila ye mwenyewe alijua atakuja kuwa nani....
Sema akifirisika akawa kam mim ndo atakuwa accidentally broke