THE ACCIDENTAL BILLIONAIRES- The founding of facebook: a tale of money,genius and betrayal

[eQUOTE="Kichpox, post: 20147074, member: 417104"]Jarib kua na ufupisho mkuu
Kunywa pombe,kunyanyuka kusogelea
Story ndeeefu inachoshaaaaa siamin kama kuna pple zimeisoma yote kama ilivo
Mwisho[/QUOTE]

We mtu gani unatusumbua afu kukwoti uzi mzima afu unaandika upuuuzi (magu wewe)
 
Jamaa alikuwa Genius niliona kwenye movie yake moja ingawa haikuwa na matukio mengi kama haya
Movie inaitwa social network. Ktk mahojiano Mark alikataa jinsi wafanyakazi walivyopatikana ktk hiyo movie haikuwa halisi na ilivyotokea chuoni.
Hii ilinipa point kuwa vitu vingi vilivyoigizwa vilikuwa na uhalisia
 
Jarib kua na ufupisho mkuu
Kunywa pombe,kunyanyuka kusogelea
Story ndeeefu inachoshaaaaa siamin kama kuna pple zimeisoma yote kama ilivo
Mwisho
ww ni pumbavu una quote thread yotee ilii iweje sasa
 
Jarib kua na ufupisho mkuu
Kunywa pombe,kunyanyuka kusogelea
Story ndeeefu inachoshaaaaa siamin kama kuna pple zimeisoma yote kama ilivo
Mwisho
ww ni pumbavu una quote thread yotee ilii iweje sasa
 
Movie inaitwa social network. Ktk mahojiano Mark alikataa jinsi wafanyakazi walivyopatikana ktk hiyo movie haikuwa halisi na ilivyotokea chuoni.
Hii ilinipa point kuwa vitu vingi vilivyoigizwa vilikuwa na uhalisia

ukiangalia hiyo movie iko na tofauti sana yaani mambo mengi wamepunguza na mambo wengi wameongeza, wamecheza kivyao vyao tu
 
Back
Top Bottom