Recent content by Farhiya

  1. F

    Kuna mtu yoyote anayeweza ku crack apple ID on IOS7

    Nami nina tatizo hilo. Jana nikaenda Tigo labda wataniingizia manual nao wamechemka. Wamenambia nitafute mtu mwenye ID ya apple. Haikubali whatsap,ina program chache sana. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  2. F

    Barua ya Kazi Uhamiaji

    ANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Kamishna Mkuu wa Uhamiaji anatangaza nafasi za kazi katika Idara ya Uhamiaji. Nafasi hizo ni Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Koplo wa Uhamiaji na Konstebo wa Uhamiaji. A.----- MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (Nafasi 70) --------- SIFA ZINAZOHITAJIKA Awe na Shahada ya Kwanza...
  3. F

    Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

    Nawakumbuka kina Bruno,Bichizi, ilikuwa ukitaka kutoka mapema Bichizi anabeba Begi hadi studio pale nje,halafu smart area unapita mbio. Ila maafande wakikudaka nae anakukana. Nilisoma pale 1999 - 2001 Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  4. F

    askari wampiga mwakilishi na kumfedhehesha kumzuia hospitali ya mnazi mmoja

    Alienda kupeleka fedha kwa mgonjwa wake,askari wa kampuni binafsi wakamzuia,akajifanya ana nguvu wakamuangusha kifo cha mende! Akampigia simu waziri wa Afya Juma Duni akaenda kumuokoa. Amenikumbusha kisa cha Afisa kilimo na mifugo alozuiwa kuingia kwenye shamba lenye mizinga ya nyuki,alipozuiwa...
  5. F

    Jenista Mhagama: Waziri asiyejua dressing code tumtegemee kwa lipi katika elimu?

    Acha utumwa mtoa mada,usikariri tamaduni za watu,usitawaliwe na umagharibi. Kuna mengi ya muhimu kuliko nguo aliyovaa huyu mama. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  6. F

    Kujifukiza udi, naombeni mnijuze wataalamu

    Udi hafukizwa chumba kikanukia,nguo na mwili zikanukia pia. Mara nyingi wanawake wakiandaa nguo za waume zao hasa kanzu huzifukiza na udi. Na pia kuna mafuta ya udi ambayo sikuhizi wengi hutumia. Pole kwa kutoipenda hiyo harufu. Huku pwani udi ni kama chai kwenye sukari. Mwanamke hujifusha...
  7. F

    Leo nimenunua Luku ya sh 10,000,nimepata unit 8!kwa hali hii Tanesco jiandaeni kuibiwa!

    Ok. Nilikuwa sijaona ufafanuzi wako. Huo ndio uhalisia. Makato ni makubwa kulilo umeme ulopata. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  8. F

    Leo nimenunua Luku ya sh 10,000,nimepata unit 8!kwa hali hii Tanesco jiandaeni kuibiwa!

    Itakuwa una makato. Jaribu kununua tena hata wa elfu 5 utapata units zaidi ya hizo 8. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  9. F

    Tahadhari kwa kina mama wapendao kwenda ufukweni

    Si kila kiandikwacho kina maana,mashekhe ni watu kama sisi,Uislam unaangalia Hadith na Sunna na sio misri wamesema vipi. Mtoa mada unataka kupotosha umma kwa kuzifanya sheria za Egypt ndio sheria za kiislam. Mfano wanawake kutoendesha Magari. Enzi za mtume wala magari hayakuwepo,sasa sheria kama...
  10. F

    UPDATES za Bungeni leo walio karibu na TV zak watujuze kinachoendelea.

    Kagasheki ametangaza kujiuzuru. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  11. F

    Kweli Mh. Rais wetu hilo ndo la kuwaweka watu uwanjani muda wote huo..

    Sina hakika na uraia wako mtoa mada. Ila sherehe za Uhuru huwa hakuna hotuba. Aliamua kuzungumza kuhs Mandela leo. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  12. F

    Mkutano wa CHADEMA Kasulu mjini wafanyika, lakini...

    Kwanini wachangiaji wanahisi ni ccm na sio chadema wenyewe?ina maana hamkubali mpasuko uliopo au? Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  13. F

    Mkutano wa CHADEMA Kasulu mjini wafanyika, lakini...

    Alikuwa anapima kina cha bahari kwa ujiti. Alitaka kujiamini watu wanamkubali na kuamua kuanzia kulekule ambako walisema asifike. Aendelee na ziara yake kama anaona bado anakubalika. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  14. F

    Muhimbili yatema tena!

    Certificate sijaona. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  15. F

    Ephraim Kibonde ashindwa kumhoji mkurugenzi Vodacom kwa kiingereza

    Kiingereza sio lugha yake acha ulimbukeni. Kupanda school bus umeona ndio Elimu? Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Back
Top Bottom