Kuna mtu yoyote anayeweza ku crack apple ID on IOS7

Kuna mtu yoyote anayeweza ku crack apple ID on IOS7

rogers1992

Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
26
Reaction score
1
Nina iphone5 nyingi nimenunua but zina hitaji apple id and password iliyo tumika kwenye kila simu. So nilikuwa nauliza kama kuna mtu yoyote anaweza crack Apple ID kwenye Iphone (IOS7)
 
HOW TO CRACK APPLE ID ON IPHONE 5. Nime nunua iphone5 but ina hitaji apple id ili iweze kuwa activated
 
HOW TO CRACK APPLE ID ON IPHONE 5. Nime nunua iphone5 but ina hitaji apple id ili iweze kuwa activated

Inabidi utengeneze app ID ili utumie na zaidi ili uweze ku download applicatin yoyote unayotaka
 
Simu ipo locked ukiwasha tu ina hitaji apple id iliyokuwa ina tumika kuanzia mwanzo and mimi sina coz nili nunua kwa mtu ebay. Kama vp na hitaji mtu anaye weza kui crack
 
Jaribu kui restore kwa kutumia Itunes then ukianza itakua kama mpya then utaweza ku create new apple id. Kuirestore kwakutumia itunes unaiweka simu kwenye DFU mode
 
Jaribu kui restore kwa kutumia Itunes then ukianza itakua kama mpya then utaweza ku create new apple id. Kuirestore kwakutumia itunes unaiweka simu kwenye DFU mode

HOW TO CRACK APPLE ID ON IPHONE 5. Nime nunua iphone5 but ina hitaji apple id ili iweze kuwa activated

Dah, hilo balaa. sijui kama kuna uwezekano wa kubypass hiyo activation screen ya apple, mpaka upate id ya mtu wa mwisho kutumia hiyo simu..hata ukiRestore/Reset lazima ikiwaka upitie activation screen..
 
Apo umepatikana mkuu, kwa sasa no way yakubypass apo, subiri miezi kadhaa labla bypass inaeza patikana. Iyo security ya ios 7 ni balaa. Pole mkuu
 
Nami nina tatizo hilo. Jana nikaenda Tigo labda wataniingizia manual nao wamechemka. Wamenambia nitafute mtu mwenye ID ya apple. Haikubali whatsap,ina program chache sana.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Pole mkuu, so far hakuna way ya kubypass. iphone 5 zilizolockiwa siku izi zinauzwa bei chee sababu ata ukinunua no way ukaitumia.
 
Nami nina tatizo hilo. Jana nikaenda Tigo labda wataniingizia manual nao wamechemka. Wamenambia nitafute mtu mwenye ID ya apple. Haikubali whatsap,ina program chache sana.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Mkuu anaeweza kukusaidia apo kwa sasa ni either mwenye io id (aliekua mmiliki wa io simu au apple wenyewe) Mtandao wa simu hawawezi kukusaidia kwa namna yoyote. Labla mbeleni ma-pro wa ios wakifanikiwa kuihack. Pole mkuu
 
HOW TO CRACK APPLE ID ON IPHONE 5. Nime nunua iphone5 but ina hitaji apple id ili iweze kuwa activated

Hapo kaka ni ngumu na kwa kifupi hakuna solution kwa sasa.
Naweza kutoa angalizo kwa wale wanaonunua product za apple zinazorun ios 7, kwanza kabisa hakikisha kuwa feature ya Find My Phone iko Off, pili mtu anayekuuzia mwambie akutolee password ya apple id na uweie yako kama unayo. Kwa case ya kununua simu online na kujua kama hizi feature zote ziko off natoa huduma ya kuangalia simu yako na kukupa status yake kama inafaa kununuliwa au la kwa charge ndogo sana.
 
ingekuwa ni kuondoa simu iliyo katika blacklist (lost or stolen) kwenye carrier fulani ingewezekana, au bad esn, carrier locked ungeweza kupata solution. ila Apple ID lazima ipitie na kuruhusiwa kwenye Apple servers. utapata access kama wewe ni mmiliki halisi wa hiyo ID na device yoyote iliyo associated na hiyo Apple ID!! huwezi kuwalipa hela wala kufanya chochote, wanachotaka tu ni uweke password sahihi ya hiyo Apple ID ili upite activation screen. pole kamanda...
 
Nina iphone5 nyingi nimenunua but zina hitaji apple id and password iliyo tumika kwenye kila simu. So nilikuwa nauliza kama kuna mtu yoyote anaweza crack Apple ID kwenye Iphone (IOS7)
ingekuwa ni kuondoa simu iliyo katika blacklist (lost or stolen) kwenye carrier fulani ingewezekana, au bad esn, carrier locked ungeweza kupata solution. ila Apple ID lazima ipitie na kuruhusiwa kwenye Apple servers. utapata access kama wewe ni mmiliki halisi wa hiyo ID na device yoyote iliyo associated na hiyo Apple ID!! huwezi kuwalipa hela wala kufanya chochote, wanachotaka tu ni uweke password sahihi ya hiyo Apple ID ili upite activation screen. pole kamanda...
 
Simu ipo locked ukiwasha tu ina hitaji apple id iliyokuwa ina tumika kuanzia mwanzo and mimi sina coz nili nunua kwa mtu ebay. Kama vp na hitaji mtu anaye weza kui crack

nenda my ebay omba kuwasiliana na huyo mtu then mwambie akupe hyo apple id.
 
Apple wenyewe wanakwambia hata ukienda kwao na risiti kwamba wewe ndo mmiliki halali still hawatoweza kusaidia kama huna Username na Password

Thats why i love Apple.


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Nina iphone5 nyingi nimenunua but zina hitaji apple id and password iliyo tumika kwenye kila simu. So nilikuwa nauliza kama kuna mtu yoyote anaweza crack Apple ID kwenye Iphone (IOS7)

Iphone yako uliweza kui unlock mkuu? What happened by the way?
 
Iphone yako uliweza kui unlock mkuu? What happened by the way?

Amesema ana iPhone 5 nyingi amezinunua na sio iPhone 5 moja aliyonayo, labda inawezekana akawa anazo iPhone 5 kama kumi!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
[QU OTE=ChelseaBlue;8745808]ingekuwa ni kuondoa simu iliyo katika blacklist (lost or stolen) kwenye carrier fulani ingewezekana, au bad esn, carrier locked ungeweza kupata solution. ila Apple ID lazima ipitie na kuruhusiwa kwenye Apple servers. utapata access kama wewe ni mmiliki halisi wa hiyo ID na device yoyote iliyo associated na hiyo Apple ID!! huwezi kuwalipa hela wala kufanya chochote, wanachotaka tu ni uweke password sahihi ya hiyo Apple ID ili upite activation screen. pole kamanda...[/QUOTE]
Nina iPhone 4S locked to verizon kuna mtu anaweza kunipa simple solution jinsi ya ku-unlock tafadhali members.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa umeuziwa kitu cha wizi, so far mpaka sasa hakuna ujanja wa kuzunguka hapo hivyo hesabu maumivu, ishi kwa matumaini kuwa siku moja wajanja watakuja na soln. ukiwa na receipt, na access ya email iliyo asociated na hiyo apple id wapigie simu huduma kwa wateja useme umesahau password watakutumia reset link kwenye email, tofauti na hapo imekula kwako, hata kama ni simu ya urithi na nakala za mirathi unazo zinathibitisha umiliki apple hawakufungulii NG'O, iOS 7 ni mwisho.
 
Back
Top Bottom