miaka hii mitatu kati ya 2010-2013 shule kama imekufa vile, wale walimu wazoefu wa zaidi ya miaka 10 wote wameondoka, wengine ukikaribia kumaliza kamkataba kako unaambiwa ahsante endelea na maisha mengine.....
Hahahahaa....mkuu we kweli wa kale. Jite ya siku hizi nidhamu hakuna kabisa!!!
afande orando mazafanta...alikua ananyanganya sana simu na ipods kwa wanafunzi wa hosteli,
Kuna huyu afande huwa anajifanya mbabe sana anaitwa Kajimara ukizinguana naye anakutishi kukuwekea bangi sijui bado yupo?
Nakumbuka mabweni ya wavulana waliokuwa wanakaaa hostel Mwakyambiki,Makame... Nakumbuka pia usafi wa jumamosi mnamwagia maji ardhi afu mnafagia na kutandika saaafi unapanga plate,kijiko na kikombe kwa ajili ya ukaguzi...
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
nakumbuka vizuri maisha ya JITE, siwezi kuwasahau Masemele, Madilu mzee wa tai za vitobo, Babu Mafunguo, Mrimi Mnandi, Afande Ismaili, Afande Bruno, Afande Tall, mpiga picha P.DIDI, bila kusahau Mkisi Program
kuna siku nilivaa tshirt ijumaa kilichonikuta siwezi kusahau
Mrimi ameshatangulia mbele ya haki mkuu. Bruno tumbo mzee wa beetle!! Hahahaa...lafudhi ya huyu jamaa ni vituko aise.
kwa wale waliosoma jite miaka 1999-2002,nauliza tena wale mapacha watukutu na maarufu kama akina CHACHA wako wapi siku hizi?kutwa utawakuta na vibegi mgongoni over wazungu wa meli.kipindi hicho nakumbuka huyu mtoto maunda zorro alikuwa bado mbichi halafu full mapepe.
nakumbuka vizuri maisha ya JITE, siwezi kuwasahau Masemele, Madilu mzee wa tai za vitobo, Babu Mafunguo, Mrimi Mnandi, Afande Ismaili, Afande Bruno, Afande Tall, mpiga picha P.DIDI, bila kusahau Mkisi program