Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Wapendwa sio wote ambao tupo karibu na TV zetu kufuatilia mjadala unaoendelea bungeni leo.
Bahati mbaya hakuna uzi ambao unatoa updates. So tunaomba walio karibu watujuze badala ya kila mtu kuanzisha uzi wake bahati mbaya moderateur sijui hawajaona maana wameziachia tu bila kuziunganisha so inakuwa ngumu kufuatilia.
Asanteni
Mjadala bado unaendelea ila mawaziri wanaotuhumiwa kutokana na wizara zao hawapo Bungeni