Kweli Mh. Rais wetu hilo ndo la kuwaweka watu uwanjani muda wote huo..

Sina hakika na uraia wako mtoa mada. Ila sherehe za Uhuru huwa hakuna hotuba. Aliamua kuzungumza kuhs Mandela leo. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Ni kweli msiba wa mandela unatugusa moja kwa moja kama taifa ambalo tulikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru wa nchi za kusini mwa afrika.
Ndio maana hata rais wetu ni mmoja kati ya viongozi waliokwisha thibisha kuhudhuria maxishi ya kiongozi huyo adimu.

Lakini kwa hii ya JK aliyoongea leo ilijikita zaidi kujifagilia yeye na upelekaji wa kiatu cha mzee madiba akiwa na mama nsilo swai.mimi nimemsikiliza kwa~makini na alitamka mara moja tu neno Mwalimu akimaanisha Baba wa taifa kwamba mzee madiba alitamka kwamba alikuwa akimuheshimu saana kwa mchango wake kwa ukombozi wa afrika kusini huru.

Leo nilitarajia pamoja na rambirambi zake kwa wananchi wa afrika kusini,angemuenzi kwa kuwa mkweli kukemea ufisadi unaolimaliza taifa,badala yake ameendeleza vijembe kwa wapinzani kuwa wapende wasipende wanalazimika kulisikia neno ccm.kwa sababu ni chama kikongwe na amesahau kwamba vipo vyama vikongwe kama Kanu ya kenya,udp ya zambia,na congress ya malawi kwa uchache na leo vipo hoi kama ccm inavyoelekea.

Yeye angetuambia pamoja na sifa lukuki alizozitoa leo kama rais,je anawaenzi vipi hawa anaoishia kuwaita kwa jina moja tu la mwalimu?...
 
mkulu.kaishiwa maneno. wewe ulitaka aseme nn? kwanza wtz pamoja na ww wamesha mchoka .blabla nyingi.
 
Kwa ajili tuko kwenye maombolezo ya mzee MANDELA rais yuko sawa kabisa kuongelea habari za Mandela.



mandela alisahau viatu kwa mama swai jk akavipeleka south hii inafaa kwenye somo la historia shule za kata
 
Huwa nahisi JK ana bifu na JKN!! Maana haka kamusela hata ile Nyerere Day kenyewe kalikuwa kameng'ang'ana na Risala za Maadhimisho ya mbio za mwenge. Mwenye kujua anidadavulie jameni, huenda alikuwa mwanae akamukana au alivyo mwambia hatutaki maraisi wa sanii aka wahuni, kamushikaji kame amua kulipiza. Make hamna hata hotuba yake kuhusu mwl? Yaani hata kumuita Baba aka Baba wataifa hajawahi huenda akiwa uraiani atafanya hivyo!! Muulize tu musondo wako wapi leo, utasikia fasta majibu!!

Ulizia Mbowe babake mzazi ni yupi..... Ukijua kama JKN ndo utajua nani alikanwa....
 
Hivi baada ya kitila mkumbo, dr slaa ataandikiwa hutuba na saa 8.....!
 
Mbowe ni msaliti kaenda uwanjani badala ya kuhudhuria kongamano la bavicha landmark anavujisha siri za chadomo kwa Jk

Lazima awasili uwanjani kwa sababu Baba yake wa kumzaa ndio aliekabidhiwa uhuru wa Tanganyika. Hawezi kudharau
 
Uhuru huu wa kila mtu kuzungumza atakavyo,ajuavyo,adanganyavyo unapatikana wapi zaidi ya Tanzania?
 
White Girl name wengine wenye mtazamo kama wako!
Hotuba aliyotoa m/miwa ni nzuri kwa kuenzi alivyokuwa madiba iconic duniani kwa ujumla ila haikupaswa aitoe kwenye maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania bara....ilipasa adokeze tu na siyo hotuba nzima. Hotuba nzima ilipasa atoe speech kuzungumzia Uhuru tulioupata yapata miaka 52 in connection na hali halisi tuliyo nayo sasa kiuchumi,utamaduni na kisiasa akisisitiza na kuweka hamasa kwa wananchi kuutambua ,kuuheshimu Uhuru na kuulinda. Mfano...kuna watoto leo hii ndo ilikua mara yake ya kwanza kushuhudia maadhimisho kwa ufahamu wake....unadhani atakua kajifunza nini form that speech? Sadly kesho keshokutwa mnasema eti vijana sio wazalendo!
Na kama haitoshi tu utawezaje kuadhimisha Uhuru wa Tanzania bila kumtaja na kumuenzi Baba wa Taifa hayati Mwl. Nyerere ?
Kimsingi maadhimisho hayajatendewa haki!
This make me believe an African man mind is limited by the scope of appearance...
Msiba South Africa haukuzuia kutoa hamasa na kuwaenzi wapigania Uhuru na nadhani hata yemwenyewe madiba ilikua ndo faraja ya kumuenzi.
Any way bora license.
 
Umeonaeeeeee.... raisi mswahili sijawahi kuona yani kanibore mwanzo mwisho... mambo ya vijembe vya kipumbavu mbele ya kadamnasi yanatoka wapi kwa mtu mkubwa kama raisi
kuhusu kuzungumzia swala la mandela kwangu naona ni sawa tu ila hapo kwenye red ndo hata mimi kanishangaza kwa kweli yaan kama sio raisi aisee
 
Sipendi kuwa mnafiki na sina chama chochote hapa Tanzania,Ningemshanga Rais wetu kama leo asingeongelea juu ya kifo cha Mandela.Rais wetu alikua sawa.
 
Back
Top Bottom