Recent content by Emanuel Kinombo

  1. E

    WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

    alioandika waraka huu ---- sana jina sio dini ukisema hivyo na zubeda ya prof jay ?
  2. E

    msaada jamani samsung galaxy exhbit T mobile haikubali network

    hiyo cm inatakiwa uifrash ndipo uweze kutumia network ya tz.
  3. E

    Kwenu wasom wa tafa hl

    mimi nakubaliana na mantiki aliyokua nayo ni nzuri sana haijalishi kiswahili alichokitumia.natafakari........
  4. E

    hii kazi nisipo acha jela inanita,ushauri please

    pigaaa harafu jiachie jela jela jela kituganiii!ila ulizia wazaziwake wanafanya kaz gani?
  5. E

    Tafadhali msaada wa haraka

    hahahahaaaaaa duu nimecheka saana leo kabaaa
  6. E

    Tafadhali msaada wa haraka

    duu kupima muhimu sana .na lazima ujue sababu za kuachika kwake ili uweze kukubaliana na yote ila inaweza kua mungu kakupangia huyo au hata shetani pia.
  7. E

    Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

    kwa dunia ya sasa mhhh na wasiwasi hayo yamepitwa na wakati.
  8. E

    P-Funk naye aishukia Clouds FM

    du ni kweli kabisa uliyo yazema kunatatizo kubwa lipo maana huwezi kumfananisha chamilion wa uganda na mtu kama banana ingawa wote wanaimba kiswahili kilekile whyy??
  9. E

    P-Funk naye aishukia Clouds FM

    sio p funk tu kunamlolongo mrefu 1.jay dee 2.bushoke 3.prof jay 4.p funk na leo kaibuka dogo yule alie shinda shindano la freestyl na king zila akawa wa pili nimemsahau jina wadau.hivi kwanini wao tu na sio redio nyingine?hapo hata mimi sina jibu
  10. E

    Wema tena

    ndo umemaliza kweli kaka
  11. E

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    mimi nimeangalia kwa umakini naibu spika alichukizwa na kitendo cha lisu kuomba muongozo mara nyingi yeye tu sasa sijui kama kuna limit ya kuomba mwongozo mle ndani
  12. E

    LIVE: Barca VS AC Milan...Barca akifudhu ntajing'ata mgongoni

    hahaaa mesi hatari saaana watashinda lakini kuvuka sina uhakika
Back
Top Bottom