duu kupima muhimu sana .na lazima ujue sababu za kuachika kwake ili uweze kukubaliana na yote ila inaweza kua mungu kakupangia huyo au hata shetani pia.
du ni kweli kabisa uliyo yazema kunatatizo kubwa lipo maana huwezi kumfananisha chamilion wa uganda na mtu kama banana ingawa wote wanaimba kiswahili kilekile whyy??
sio p funk tu kunamlolongo mrefu 1.jay dee 2.bushoke 3.prof jay 4.p funk na leo kaibuka dogo yule alie shinda shindano la freestyl na king zila akawa wa pili nimemsahau jina wadau.hivi kwanini wao tu na sio redio nyingine?hapo hata mimi sina jibu
mimi nimeangalia kwa umakini naibu spika alichukizwa na kitendo cha lisu kuomba muongozo mara nyingi yeye tu sasa sijui kama kuna limit ya kuomba mwongozo mle ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.