P-Funk naye aishukia Clouds FM

P-Funk naye aishukia Clouds FM

Kwani luge havuti unga, na anavyowagonga wasanii wa kike....Mungu atampatia adhabu yake kwa kuwakosesha maisha bora wasanii....na nyie wasanii muache ungese amkeni jitegemeeni na mjiunge pamoja kutetea haki zenu, akija ruge muongee nae kibiashara zaidi sio kunyonywanyonywa tu kila siku...pambafu...
 
Ngumu sana kuelewa hadi upate watu wa muziki wakuambie tumefikaje hapa!

yani mkuu kuna vitu vingi sana vinaendelea watu hawajui,na wanaishia kujaj...sometime unatamani umueleweshe kila mtu umu lakini utaanzia wapi...Kusaga ana dhambi nyingi sana.
 
Ukweli ni kwamba P funk majani studio yake ndio kijiwe cha kuvutia bange. Pamoja na unga .vijana wengi wa bongo fleva wanajifunzia unga pale kwenye studio yake. Na mlinzi wake wa getini ndio pusha mkumbwa wa bange. Au muuza bangi wa hao bongo fleva.

Ujui ukweli wewe.Rais wako wa nchi ndo anahusika sana sana kuua vijana kwa manuva yake na marafiki zake wa karibu.
Tukisema mtaongea hoo,mbona hamleti ushaihidi.We utathubutu kuleta ushahidi gani mbele ya kikuukuwete?Au unataka kunichezea Sharubu?
Mi siogopi,watu wa Gov wengi sana(kuanzia wao na suti zao,watoto zao,marafiki na jamaa zao)ndo after money,na ndo watu wanaoingiza na kutoa drugs kila siku.Think about it,au wewe ni mmoja wao.
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja

sio kweli kuwa ni studio kwa pfunk,but nyuma ya nyumba ya pfunk kuna njia ya uchochoro almaarufu blongs, ni kijiwr cha kuvutia bangi na unga na kilianza baada ya mateja na wapiga debe ea stend ya mwenge enzi hizo kutumia huo uchochoro kwa ajili ya kucheza kamari,baadaye kikageuka kiwanja cha sembe.
 
use the common sense
clouz aijaanza lalamikiwa leo,so lazima kutakuwa na tatizo apo iweje watu kama lady jay d waiseme clouz bila reason???ata majani nae??
clouz wana ajenda za unyonyaji wa wasanii xo jst die alne dnt kill our artist i hate u clouz.
 
Kama mwenyewe alishindwa kusema wewe ukimsemea si mngesema mbona hajasema mwenyewe?..

P-Funk amesema sasa hivi kama producer wa nyimbo za cowboy ambaye cowboy alimshirikisha hayo matatizo yake.

Wafu Fm ni wazushi sana vinega waliwasemea wasanii wengi sana japokuwa kwa njaa zao wengi walikuwa wanaugulia

maumivu moyoni tu!..
just wondering why he never said so, when the man was still alive.......................................
 
ila kwa mbaaali kuna jambo linaonekana kwa anayeona kuleeee. Y wasanii wengi wa bongo records ndio mateja sana mf juma nature, daz baba,mox,marehemu,mwenyew p funk nk kuna kitu hapa narudia tena kileee
 
Ujui ukweli wewe.Rais wako wa nchi ndo anahusika sana sana kuua vijana kwa manuva yake na marafiki zake wa karibu.
Tukisema mtaongea hoo,mbona hamleti ushaihidi.We utathubutu kuleta ushahidi gani mbele ya kikuukuwete?Au unataka kunichezea Sharubu?
Mi siogopi,watu wa Gov wengi sana(kuanzia wao na suti zao,watoto zao,marafiki na jamaa zao)ndo after money,na ndo watu wanaoingiza na kutoa drugs kila siku.Think about it,au wewe ni mmoja wao.

huna lolote jazba za kisiasa tu.
 
Ruge naona huu ndiyo uwanja wako,ninyi si ndiyo mnaongoza kwa kufanyia misiba ya watu biashara,mlifanya kwa

kanumba bibi kidude na sasa cowboy.Yaaani kipindi tu eti ch yote yaliyojiri kwenye msiba mnatafuta na wazamini Shit

wafu Fm!..

hawa kina P FUNK Wanatumia kifo cha ngwair kujipatia umaaarufu ilhali walishafulia kitambo! huyu p-funk si ndio alikuwa anafukuza watoto wanaokuja kurekodi katika studio zake eti hawana swaga na vipaji?? watoto wale wakaenda clouds kule wakatoka kimasomaso
 
Ukiongea ukweli una jidhalilisha?
...na wa mtwara nao utawasemaje?
 
sio p funk tu kunamlolongo mrefu 1.jay dee 2.bushoke 3.prof jay 4.p funk na leo kaibuka dogo yule alie shinda shindano la freestyl na king zila akawa wa pili nimemsahau jina wadau.hivi kwanini wao tu na sio redio nyingine?hapo hata mimi sina jibu
 
mkuu unamjua mama yake majani au unamsikia?au ukusikia kisa cha pfunk kumchapa afande sele kibao kisa mibangi ambao king sele alivuta pale bamaga kwa p usiongee kitu usichokijua mkuu.
 
cloudz sasa kifo chenu timeless kwani antivirus ni dawa zaidi ya dozi,cloudz tuikloz au ruge aondoke,ruge kinega akika watoto wa tht maziwa hautowagusa=PIN LAWYER.
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja
dharirisha? Kiingereza si lugha yetu,kiswahili fasaha je? Ndugu jipange kabla ya kukurupuka! Neno sahihi ni dhalilisha. Halloooooow
 
Back
Top Bottom