Kada
Senior Member
- May 3, 2009
- 164
- 28
P funk ni mtu mzima hapungui miaka 50.
Una uhakika na huo umri ulioutaja mkuu, mbona kama unatapatapa!
P funk ni mtu mzima hapungui miaka 50.
Wee jamaa hivi unamfahamu kweli P Funky?? Ungejua hatumi bhagi huyu jamaa kwasasa ilikuwa zamani saana,search You tube uone alivyomdhalilshaga Afande Selle kumkata makofi studio kwake alikuja anavuta bhagi hadi pale ofisini.Usikurupuke na Clouds yenye ndio inamaliza wasanii sema nao wanakufa kisabuni.Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja
yani mkuu kuna vitu vingi sana vinaendelea watu hawajui,na wanaishia kujaj...sometime unatamani umueleweshe kila mtu umu lakini utaanzia wapi...Kusaga ana dhambi nyingi sana.
[h=1]VIDEO: P-Funk aongelea Ngwair na madawa. Aichana Clouds FM, aikataza kupiga nyimbo zake[/h] Music, Udaku Spesho 1:35 AM
Video: Producer mashughuli nchini P-Funk afunguka kuhusu msanii aliyeaga dunia Albert Mangwea, maarufu kama Ngwair. P-Funk azungumzia sababuanavyodhani zilipelekea marehemu Ngwea kujiingiza kwenye madawa. Aichana CloudsFM kwa kile anachokiona kama dhulma kwa wasanii, na kwamba dhuluma za Clouds Fm ni moja wapo ya vitu vilivyosababisha maisha ya Ngwear yawe na muelekeo mbaya. Ngwair alikua kama ngombe wenu; mnamkamua tu maziwa.
Akizungumzia kuhusu kuikataza Clouds FM kupiga nyimbo za Bongo Records, P-Funk amesema:
Niko kwenye harakati za kuandaa barua ili nistopishe nyimbo zangu zote za Bongo Records, zisipigwe Clouds Fm, sababu ya A, B, and C. Moja wapo kikubwa ni uonevu wa haki miliki. Nyinyi, ndio number one radio station; ndio mnajipotray hivyo. Kisaikolojia wasanii wote mmewateka. Wote wanaona bila kupeleka nyimbo yangu Clouds, sitofanikiwa. Mimi cha kwanza nataka kuonyesha mfumo mwingie. kwamba bila nyinyi tutaweza. Cha pili mnaingiza hela sana ya wadhamini, lakini hamui-distribute kwa wanaohusika. Ambao wanahusika kupewa hela yake hapewi. Mnaingiza mabilioni lakini hati miliki haichezi. kwanini niendelee kusapoti empire kama hiyo wakati mimi ni chanzo cha Clouds FM kuwepo pale. Na mfumo wa kupeleka nyimbo Clouds nilianzisha mimi hapa. So mimi nitakua wa kwanza kujitoa na kuanzisha mfumo mwingine.
Tulikua tunakaa kwenye hiki kibenchi na mangwea na kikonyagi chake and always complaining about who? Clouds FM!
Angalia Video Hapa:
VIDEO: P-Funk aongelea Ngwair na madawa. Aichana Clouds FM, aikataza kupiga nyimbo zake | Udaku Specially
sio p funk tu kunamlolongo mrefu 1.jay dee 2.bushoke 3.prof jay 4.p funk na leo kaibuka dogo yule alie shinda shindano la freestyl na king zila akawa wa pili nimemsahau jina wadau.hivi kwanini wao tu na sio redio nyingine?hapo hata mimi sina jibu
Mimi mdau mkubwa sana wa bongo fleva uhuni wa wafufm hauvumiliki subirini wengine wataongezeka kuelezea bifu zao na hawa Jamaa WAFUFM MIMI NARUDIA TENA NO FUTURE OF MUSIC TANZANIA WITH THESE GUYS WAFUFM. Wameua vipaji vingi sana zaidi wamehusika sana kupoteza aina music wetu kisa ni oppotunisty za dhulma kwa wasanii. Tujifunze hapo Uganda tuu nchi ndogo kuliko yetu lakini wasanii wananufaika na muziki wao tuu hapa kwetu kazi sana msanii kunufaika anashindwa hata kuishi kwa kazi yake kwelii???????
Future ya music wa bongo iko wapi?.Kwanini wasanii wakibongo hawaifuati hiyo future?
Swala sio kuifuata future tayari fursa ipo kubwa sana tatizo hawa wanaohodhi fursa hizi hawataki kutoa kwa wenyewe huwezi kuwa muandaaji, mpishi, muonjaji,, mlaji na mgawaji wewe alafu wengine wawe upande upi? Hebu niambie mtoto wa mjini nani wakuja kunufaika kimuziki Tanzania kwa mfumo ulipo kama hujui WAFUFM NI waandaaji wa wasanii mapromota wao wenye chombo cha radio tv wao wenye kuaandaa matamasha makubwa yote ni wao kuuza kazi za wasanii ni wao pia ukithubutu kufanya chochote Kati ya hivyo utafanyiwa fitna mpaka ufe kumbuka kisa cha Sugu.
P Funk anajidharirisha
hiyo red unatakiwa kurudi darasani!
sio kweli,hajidharirishi