Mhhhhhhhhhhhhhhhh!HHHHHHHHHHHHHHHhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, hapa ipo shughuli!!!!!!!!! Pole baba. Ila chukua taadhali zote lakini ufaihamu neno hili . Bwana Yesu asipoujenga mji, wajengao wafanya kazi bur", "Bwana Yesu asipoulinda mji, walindao wakesha bure" "Mke !mwema hutoka kwa bwana".Angalia sana vigezo unavyoweka kwa kuogopa kukosea ndivyo vinaweza kukufanya ukosee!. Naogopa unaweza kumkosea Mungu kwa kudhani maskini wanapenda kuwa maskini ama wote ni wezi!. Mafisadi na ccm wanaoifilisi nchi yetu, ni maskini?