mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 237
Ha ha ha dawa yao ni kuwa makali tu fimbo nyingi, uso wa mbuzi mwanafunzi akikuona kulee anatafuta njia, ha ha ha, hizo zilikuwa style za walimu waliotoka JKT.
ktk kazi huu wa tano, nipo iringa nina 34yrs old
Ha ha ha dawa yao ni kuwa makali tu fimbo nyingi, uso wa mbuzi mwanafunzi akikuona kulee anatafuta njia, ha ha ha, hizo zilikuwa style za walimu waliotoka JKT.
kwa umri wako ulipaswakuwa umeoa,pia kwa uzoefu wa kazi si vyema kufanya vitendo kama hivi unavyojisifia hadharani, siku utakuja kukimbia mkoa na kuacha kazi bila kupenda...
kwa umri wako ulipaswakuwa umeoa,pia kwa uzoefu wa kazi si vyema kufanya vitendo kama hivi unavyojisifia hadharani, siku utakuja kukimbia mkoa na kuacha kazi bila kupenda...
huenda hujailewa thread yangu,sijajisifia.....i wanted my fellow walimu na wasiokuwa walimu wajue hali ilivo ktk education secta, mi sio mwalimu mkali bila sababu, panapo bidi huwa nagonga fimbo tena huwezi amini......i hate walking around with students......
kaka nimebamiza ed-psychology vizuri tu,tena udsm.....and am good in philosophy but watoto wa siku hizi chenga chenga, tena uki solve hili jambo kibusara ndo utaharibu kabisa kwani ukiwatosa wanakuzushia vizuri tu
ndo nachokiogopa.....
Unaogopa kuliwa jela au unaogopa kufungwa kwa ajili ya huyo mwanafunzi??
naogopa vyote
Ndio marupurupu ya ualimu hayo...
mmmh ualimu kazi nakumbuka mwaka 2002 wakati naasubiri kwenda chuo nikapata kitemple cha kufundisha shule moja hivi tena kwa bahati mbaya nilikuwa nakata physics na hesabu da nilikoma kweli kweli.na mitego ya watoto wa kike aisee.... ni noma....
We mpuuzi sana! Unaongea kwakuwa hujui uchungu wa mwana! Fikiria ndo binti yako anakuwa rupurupu!
mi ni mwalimu, wiki iliyopita mwanafunzi wa kike form three, kanifata na kuniambia anataka kunipa zawadi, nkwamwambia poa tu, zawadi aloniletea nilichoka, maana alinletea chupi aina ya boxer 3, vituko vya wanafunzi navipata sana lakini infact sitaki kabisa mambo hayo yanavunja sana heshima ingawa mwaka juzi maji yalizidi unga msichana wa form 5, alini trap hadi nika haribu lakini huwa najilaumu hadi leo kwa kufanya vile na nikatubia na nikaahidi kutorudia tena, jamani mniombee nibadilishe kazi naona hii nilonayo sio sio......