Wapendwa nadhani ni vizuri tukakumbuka kuwa sheria ya manunuzi inakuwa na makali kwa fedha za umma. Ile ilikuwa michango binafsi.
Kama kuna usanii mwingine, mimi sijui. Lakini tukutaka kusema kuna sheria zilikiukwa hapo hutuna pa kushikia. Pesa binafsi zinaweza kutumika kwa mipango yoyote...
Chombo binafsi kina uhuru wa kutangaza habari ambazo kinaona zinafaa. No limitations no rules. Mradi ni za kweli!
Chombo cha Umma, kinachoendeshwa kwa kodi kodi za wananchi wote, bila kujali vyama au dini, rangi au kabila, ni MAKOSA kuamua kutoa taarifa za upendeleo kwa tofauti za itikadi ya...
At least mnakubali huwa mnashinda kwa kuiba Kura. Its a step forward. Next step will be to realize kuwa kwa kuwa mmekuwa mnaiba kura, hamna ridhaa ya wananchi kuongoza nchi na hivyo chochote mnakifanya kinatupeleka karibu zaidi na kupoteza amani yetu kwa gharama ya tamaa zenu za kishetani!
Mwacheni mgonjwa wa watu aendelee na ratiba zake. Kimsingi kama afya yake haimruhusu kusimama masaa 3, hana haja ya kusimama masaa yote hayo. Cha msingi yeye afanye anayoweza kwa kadri ya afya yake kwa sasa.
Ugonjwa siyo aibu kama wengi mnavyotaka ionekane. Nadhani it's heroic kwamba mtu...
Sidhani kama hawawezi. Ni ujinga wa demokrasia za kiafrika. Kwamba unataka uonekane kwako kuna demokrasia wakati kuna chama kinaegemea polisi, Usalama na mahakamani! Matokeo yake mijitu kama hiyo inahongwa itangaze matokeo yasiyoeleweka na yenyewe inatangaza tu kama vile nchi nzima ina wanafunzi...
Kwenda Tandale? Sijawahi kuona kama ni kitu cha ajabu sana. Simuongelei EL tu hapa, Katiba ya JMT inatoa haki ya association with condition: mradi havunji sheria! So kama yeye au yeyote ameamua kukutana na mtu au watu bila kuvunja sheria sioni kama 1. Ni maigizo-coz ni haki yake kikatiba...
Ni wazi kuwa hawa watu wameshaona hata wakinadi sera na ilani yao bado watu hawawaelewi. Kwa hiyo kilichobaki ni kufanya ukatuni na comedy mpaka uchaguzi ufike, waibe kura, wakishindwa wasababishe fujo ili nchi itawaliwe kijeshi.
Vinginevyo nadhani ingekuwa poa sana kama hawa wangepiga na push...
Huyu mgombea anaonekana kweli ana tatizo kiafya. Ajabu ni kwamba nadhani bado hilo siyo pingamizi kuchaguliwa. Hata Kenya walipomchagua Mwai Kibaki alikuwa mgonjwa sana na aliwahi kusema kama kuna mtu ulaya ana shida yeye ni mgonjwa hawezi kusafiri so wamfuate Kenya! Nadhani wote mnaona what...
Kudai validation ni kutoka barabarani. Nadhani the concern was supposed to be imekuwaje wakafikia hapo? Kwa manufaa ya nani? Kwa nini wanadanganya umma?
Wala siyo ubunifu, ni taarifa zilizothibitishwa toka ndani ya "kamati" Na ni kweli kamati imebomoka jana usiku. Na ajabu kuna ya ghafla imeundwa ikiongozwa na naibu waziri fulani Kijana kuliko wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.