President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kwa mwendo huu, sherehe za Mapinduzi Zanzibar kweli zitakuwepo mwakani?
Kama tisa Desemba tunafanya usafi nchi nzima, yamkini Januari 12 sherehe za Mapinduzi Zanzibar nako watafanya usafi kama sie huku bara.
Yetu macho, subira yavuta heri.
Kama tisa Desemba tunafanya usafi nchi nzima, yamkini Januari 12 sherehe za Mapinduzi Zanzibar nako watafanya usafi kama sie huku bara.
Yetu macho, subira yavuta heri.